Yule mwenye base eehh wa ya moto eehh wamefanana etHuwezi kumfananisha Rayvanny na vitu vya ajabu ajabu hivyo. Halafu hivi Harmonise na yule dogo mmoja wa kwenye Band ya Yamoto Band ni ndugu? Maana huo mfanano!!!!
Hoja yako haina mashiko imejaa ka wivu flani , bt all in all dogo mkali yani. Huyo nanjilinji boy hamfikii hata theruthi
elimu...elimu...elimu[emoji2] [emoji2]Mleta mada kasema harmonize na ray vanny we unasema dully unajielewa kweli wewe.
Ina maanisha "mzee wa KINYAMKERA DIBWE?"Huwezi kumfananisha Rayvanny na vitu vya ajabu ajabu hivyo. Halafu hivi Harmonise na yule dogo mmoja wa kwenye Band ya Yamoto Band ni ndugu? Maana huo mfanano!!!!
yah maana hawana mpinzani kilichobaki ni kuwaashindanisha wenyewe tu, kuwalinganisha na wengine ni kuwashushia heshimaWCB CHAMA KUBWA,NI WAKATI WA KUWASHINDANISHA WENYEWE KWA WENYEWE.
NIMEIPENDA SANA HII KOMENTI YAKO,CHUKUA LIKE 1,000,000,000,000,000.yah maana hawana mpinzani kilichobaki ni kuwaashindanisha wenyewe tu, kuwalinganisha na wengine ni kuwashushia heshima
Wabunge wa CCMNdio wakina nani hao?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wabunge wa CCM
Tuache masihara hvi Dully anakiimbaga nn.? Me naona Mashudu tu..Toka bongo fleva ianze sijaona zaidi ya mtoto wa kkoo prince dully sykes AKA mr misifa
huu ndio ukweliRaymond n mkali anandika, anaimba, anachana na kupiga vyombo vya mziki kuanzia gitaa hadi kinanda
Nililiona hilo na nikajua siwezi kuvutiwa nao.Wote wanau-diamond kuna saa unashindwa kutofautisha yupi ni yupi