[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wabunge wa CCM
Hujanishawishi bado , Ray ni kichwa aseeall in all,ukiiingia mtaani Hamornize anakubalika sana na ngoma zake zote alizotoa zinaimbwa sna na rika tofauti na jinsia zote...na mpaka sasa hajaharibu bado..rayvanny nae ana uwezo wake pia,ila wengi wa wanaomponda harmo ni ama kutokana na sura yke,kabila lake,umondi wake(life style) n.k lakini in reality si kutokana na uwezo wake wa kuimba,kwenye kuimba dogo ana kipaji na hata boss wao Diamond analijua hilo that's y utaona anampa kipau mbele sana harmonize kuliko mwengn pale wasafi.,.lkn hili utaligundua tu utapochunguza haya kwa umakini with positive mind n attitude.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , kwa nini mkuu??Hence we ndo master wa Jukwaa hili Duuh
Upo makin Sana mana Mara nyingi kweny Celebrities forum naona Sana mambo yako.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , kwa nini mkuu??
Ok, ila lengo halikuwa kukushawishi au kumshawishi mwengine yeyote yule bali ilikuwa ni kuweka wazi ukweli ambao upo,na naamini baada ya kusoma vyema comment yangu hata ww mwenyw huu ukweli umekuingia moyoni na nafsi yko mpk sasa inakiri ukweli wa niliyoyaandika japo ni ngumu kudhihirisha...rayvanny sio msanii mbaya na binafsi team nzima ya WCB naikubali ila tatizo linakuja kwa wapondaji wanaomchukia harmo bila sababu....ila huyu dogo ndo atakuja kutoboa sana kuliko MAKINDA mengine pale Wasafi coz changamoto anazopitia ni km za boss wake tu of which zinampa hasira ya kufanya vizuri zaidi...you just mark n save my words ipo siku utayakumbuka haya.Hujanishawishi bado , Ray ni kichwa asee
Man wewe Unajua, kugundua vipaji mkuu, harmonise anajua sana tena sana,Ok, ila lengo halikuwa kukushawishi au kumshawishi mwengine yeyote yule bali ilikuwa ni kuweka wazi ukweli ambao upo,na naamini baada ya kusoma vyema comment yangu hata ww mwenyw huu ukweli umekuingia moyoni na nafsi yko mpk sasa inakiri ukweli wa niliyoyaandika japo ni ngumu kudhihirisha...rayvanny sio msanii mbaya na binafsi team nzima ya WCB naikubali ila tatizo linakuja kwa wapondaji wanaomchukia harmo bila sababu....ila huyu dogo ndo atakuja kutoboa sana kuliko MAKINDA mengine pale Wasafi coz changamoto anazopitia ni km za boss wake tu of which zinampa hasira ya kufanya vizuri zaidi...you just mark n save my words ipo siku utayakumbuka haya.
Kaka ww ndo umeongea point kabisa kati ya wote.....ukifatilia wengi wanaomponda harmo c kwmba hajui kuimba Bali ni kutoka na na ivo vigezo apo juu plus kutoka na wolperall in all,ukiiingia mtaani Hamornize anakubalika sana na ngoma zake zote alizotoa zinaimbwa sna na rika tofauti na jinsia zote...na mpaka sasa hajaharibu bado..rayvanny nae ana uwezo wake pia,ila wengi wa wanaomponda harmo ni ama kutokana na sura yke,kabila lake,umondi wake(life style) n.k lakini in reality si kutokana na uwezo wake wa kuimba,kwenye kuimba dogo ana kipaji na hata boss wao Diamond analijua hilo that's y utaona anampa kipau mbele sana harmonize kuliko mwengn pale wasafi.,.lkn hili utaligundua tu utapochunguza haya kwa umakini with positive mind n attitude.
Hao ndo kina Rayvan na HarmonizeNdio wakina nani hao?