Kila mmoja na nafasi yake, na majukumu yake kwa taifa.Wakuu hope mko poa
Naomba kuuliza ni nani, Ni mkubwa, lakini pia nani anajua Siri nyingi, lakini pia nani yupo karibu mno na raisi Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa(DGIS)
Karibu mtujuze mnaojua
ulishaga liwa?Usalama wa taifa kazi ya kinafki unaweza kuliwa tako wakati unatafuta information
Sijui unataka nini ila kwa ninavyojua mimi hakuna mapinduzi ya nchi yaliyowahi kufanywa na usalama wa taifa, zaidi ya jeshi tu maana wana kila kitu.lini ilitolewa?
GeniusMlinzi hawezi kumiliki nyumba, japo umempa mamlaka ya kulinda kufuli lako unapokuwa umelala, ramani ya nyumba yako unaijua wewe, taarifa za familia yako unazo wewe, mpaka taarifa za idadi ya hao wanaokulindia nyumba yako unazo wewe,
ndio inafikia hatua ukihisi Ulinzi wa mwenye kichwa Cha familia hautoshi wewe ndio unaetafuta mlinzi wa kuongeza nguvu na kuimarisha Hali ya usalama,
Kuna wakati unawaambia walinzi wako wawatrain watoto wako, Kuna wakati unawapa heshima walinzi wa nyumba yako ili tu uwe salama na walinde wajua kuwa wao ndio wenye mamlaka ya geti, lakini haimaanishi wao ndio wajuzi sana isipokuwa mamlaka ya wanayoyafanya Ni Mali yako wewe, ilitakiwa uilinde familia yako mwenyewe, wao wanakuwakilisha tu..ukiamua kuwabadili pia unaweza.
Tembelea hata ferry, mlinzi ana mamlaka kuliko hata meneja pale wakati hata taarifa tu za makusanyo ya siku hajui, lakini akikaa getini unaweza kuhisi yeye ndio mnunuzi wa kivuko.
Ndio mama ako alinibaka kisa nna ub.oo mkubwa kuliko wa baba ako. Sasa nawewe jifanye umeungulia uje utafute habari anga zetu tukufumue marinda bila kilainishiulishaga liwa?
Ndio sasa usalama wa taifa si jeshi wala hayupo sehemu ya jeshi ni kitengo tuu cha kiserikaliNi mdogo kuliko private...?[emoji1787][emoji1787][emoji1430]
[emoji23][emoji23][emoji23]Enzi za utoto ilikua utata kama huu unamalizwa kwa wahusika kupanda ulingoni kuzichapa na mshindi ndiye mkubwa.
Acha uwogaMimi sio askari
Hata wafungwa wengine ni Papawizo (Njiwa)Jeshini kwenyewe kuna watu wa tiss, tiss ni serikali ndani ya serikali.
The one who control infomation controls everything.
Jeshi ni watu kama walivyo wengineJeshi likiamua kitu,hakuna mtu analeta fyoko. .
yani wanajeshi wawapandikize watu wao TissπππππMimi nawafahama pia wanajeshi waliopandikizwa TISS
jamaa kaamua kufurahisha gengeAcha uongo boya wewe.
wewe undani hizo nchi unazosikia jeshi limepindia,watu wa usalama wanakua hawajui?na kama walikua wanajua unadhani wanakua wameshindwa kuzuia?rejea mapinduzi yaliotaka kufanywa kipindi cha nyerere.ni nani walizuia mapinduzi hayo yasifanikiwe?Kwa hiyo hao wanaopinduaga hua hamna watu wa usalama
Mimi ni raia wa kawaida tu mzee babaAcha uwoga
Kwahiyo na usalama ni miungu kama miungu mingine sio?Jeshi ni watu kama walivyo wengine
Hata Polisi, Magereza, Uhamiaji, zimamoto, kuna TISS, maadam wanalinda nchi yetu. Mimi naona ni kama kuku na yai.[emoji1] [emoji1]Jeshini kwenyewe kuna watu wa tiss, tiss ni serikali ndani ya serikali.
The one who control infomation controls everything.
Ndio mfalme juaKwahiyo na usalama ni miungu kama miungu mingine sio?
WeweeeeMbona Mara nyingi meko alikuwa anasafiri na Diwani
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app