Sijui kama mnajua kua jeshi lina intelligence yake,maana mostly mnaongelea habari za kijiweni than reality.Kabla haujapindua Nchi, Tayari unakuwa tayari Mipango yako ishajulikana na Usalama wa Taifa na kudhibitiwa chini ya Ulinzi, Maana Usalama wapo kila Mahali
The is something wrong with this country km mtu unaweza kuongea sjui niitaje maana zaid ya ugoro but with confidence kali hvMkuu wa usalama ni mkubwa! Jeshi ni sehemu ya vyombo vya usalama vingine ni magereza, polisi, uhamiaji nk. Mkuu wa usalama anacontrol vyote hivyo
mitihani yenyewe siku hizi ni ya kuchagua Hadi hesabu.unategemea nn mkuu!! Kama sio hivi.Dah ...
Hizi shule siku hizi sijui mnaenda kusomea nini...
uwongo upi sasaMuongo
Haha sasa hata usalama wa taifa wakijua hiyo mipango wanauwezo upi wakuzuia hilo lisitokee? Mnachekesha yani muanze kulinganisha jeshi na idara ya usalama hahahhaha...ndo maan nchi yyte kukitokea state of emergency jeshi ndo linashika nchi,Yani Kama hujui si usalama wala chombo chchte ambacho kinauwezo wakupimishana nguvu na kitu kinachoitwa Army kwene taifa lolote lile jeshi ndio alfa na Omega wa ulinzi kinyenzo,kiuwezo na kiupambambanaji
Haha sasa hata usalama wa taifa wakijua hiyo mipango wanauwezo upi wakuzuia hilo lisitokee? Mnachekesha yani muanze kulinganisha jeshi na idara ya usalama hahahhaha...ndo maan nchi yyte kukitokea state of emergency jeshi ndo linashika nchi,Yani Kama hujui si usalama wala chombo chchte ambacho kinauwezo wakupimishana nguvu na kitu kinachoitwa Army kwene taifa lolote lile jeshi ndio alfa na Omega wa ulinzi kinyenzo,kiuwezo na kiupambambanaji
CDF-DEFENCE FORCESiro nimkubwa kwa diwani kiprotokali, na kiukubwa wa taasisi wanazozisimamia...ndo maan hata kwene hafla yyte wanapokaa au kuingia siku zote hukaa na kuingia kulingana na seniority...CDF,IGP, DGIS,CG-magereza,CG-uhamiaji,CG-zimamoto,Takukuru,mkuu wa kupambana na madawa ya kulevya
Jeshini Kuna kitengo kinaitwa millitary intelligence na kinaongozwa na major general.... Kimsingi CDF is the God father of all....jeshi ni kubwa kuliko chombo chchte kile
Intelligence ya jeshi Ni ya humo humo jeshini, TISS inaweza kujua taarifa mpaka za hiyo intelligence ya jeshi lakini Intelligence ya Jeshi haiwezi kujua ya TISS, kwa kuhitimisha, TISS wapo mpaka jeshini na wanafanya kazi za jeshi, lakini TISS hakuna wanajeshi wanaoifanyia intelligence. Vinginevyo mnaongopeana.Jeshini Kuna kitengo kinaitwa millitary intelligence na kinaongozwa na major general.... Kimsingi CDF is the God father of all....jeshi ni kubwa kuliko chombo chchte kile
mkuu wa majeshi ni mkubwa cdf ni mkubwa kuliko mkurugenzi wa usalama, jeshi linamajukumu mengi zaidi ya secret service nchi ikiingia gizani jeshi ukamata nchi na askari huwa chini ya jeshiWakuu hope mko poa
Naomba kuuliza ni nani, Ni mkubwa, lakini pia nani anajua Siri nyingi, lakini pia nani yupo karibu mno na raisi Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa(DGIS)
Karibu mtujuze mnaojua
( Jeshini kwenyewe kuna watu wa tiss, tiss ni serikali ndani ya serikali.uwongo upi sasa
Jeshi likiamua kitu,hakuna mtu analeta fyou unakumbuka jeshi lashawahi kuamua enz za NYERERE nini kilisababisha washindwe ukipata jibu ya hii ishu utajua nani ni nani na nani mwenye nguvu
Usalama wa Taifa...Wakuu hope mko poa
Naomba kuuliza ni nani, Ni mkubwa, lakini pia nani anajua Siri nyingi, lakini pia nani yupo karibu mno na raisi Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa(DGIS)
Karibu mtujuze mnaojua
Sio kweli..( Jeshini kwenyewe kuna watu wa tiss, tiss ni serikali ndani ya serikali.
The one who control infomation controls everything. )
Ulichoandika hapo ndio UONGO..
Inatakiwa ujue TISS ni nini na JWTZ ni nini.
Jeshi lina intelijensia yake yenyewe haiingiliwi.
Unavyosema Serikali ndani ya serikali unaijua SERIKALI? mihimili yake unaijua? Usirahisishe vitu vikawa vyepesi
Hivi huwa hamuwaoni hata wakiwa wamekata kwenye mikutano au miapisho ya JMT..
Ukisikia wanazungumzia system, ni hilo dude mnaloloitaja. 😀😀. Hiyo idara ndo serikali yenyewe..