kama kuna usalama wanauza habari kwa kigogo itakuwa kwa jeshi? your contradicting yourself.Intelligence ya jeshi Ni ya humo humo jeshini, TISS inaweza kujua taarifa mpaka za hiyo intelligence ya jeshi lakini Intelligence ya Jeshi haiwezi kujua ya TISS, kwa kuhitimisha, TISS wapo mpaka jeshini na wanafanya kazi za jeshi, lakini TISS hakuna wanajeshi wanaoifanyia intelligence. Vinginevyo mnaongopeana.
Yaani ndio kazi za usalama hizo kuchungulia mpaka kwenye bukta za mabeo ama kweli maajabu hayaishi ulimwenguniUsalama wa Taifa ni mdogo,lakini ndie mwenye intelligence/taarifa nyingi za kijasusi,na mbinu nyingi za kupata hizo taarifa,hata akitaka ajue CDF,kama ana kibamia,au ni homosexual,au michepuko yote ya CDF,na viongozi wakuu wa nchi,anaweza kujua.
TISS wenyewe si wanapitia jeshini? We just know jeshi likiamua jambo TISS ni taasisi tu.Jeshini kwenyewe kuna watu wa tiss, tiss ni serikali ndani ya serikali.
The one who control infomation controls everything.
Kwahiyo unataka wazipange kweli?Msuyu atamuwezea mabeyo?
Kwahiyo mabeyo anawaongoza mpaka TISS, acheni dharau Basi na watu wenye akili nyingi.MWALIMU MKUU NA MWALIMU WA NIDHAMU NANI MKUBWA KWA MWENZAKE...
NB:MMOJA ANASIMAMIA MAJESHI YOTE MWENGNE ANASIMAMIA IDARA
Elimu ya kata mwenzangu[emoji23][emoji23]Dah ...
Hizi shule siku hizi sijui mnaenda kusomea nini...
Hebu waulize hao usalama mafunzo yao wanayapataga wapi kwanza maana kuna vitu vinafurahisha kweli... hao usalama kwa silaha zipi?[emoji23][emoji23] kwa jeshi gani? Wengine wameingia tu kwa style zetu zileHaha sasa hata usalama wa taifa wakijua hiyo mipango wanauwezo upi wakuzuia hilo lisitokee? Mnachekesha yani muanze kulinganisha jeshi na idara ya usalama hahahhaha...ndo maan nchi yyte kukitokea state of emergency jeshi ndo linashika nchi,Yani Kama hujui si usalama wala chombo chchte ambacho kinauwezo wakupimishana nguvu na kitu kinachoitwa Army kwene taifa lolote lile jeshi ndio alfa na Omega wa ulinzi kinyenzo,kiuwezo na kiupambambanaji
unaweza kuta nabishana na watu ambao wanajua tiss ni wale wanaolinda viongozi tu.TISS wenyewe si wanapitia jeshini? We just know jeshi likiamua jambo TISS ni taasisi tu.
Ni kweli mkuu. Labda tuu hujui hili. Nitatetea hapaMuongo
Khaaa... mkuu[emoji23][emoji23]TISS wanashindwa kumshughulikia/washughulikia watakaopanga mapinduzi ndani ya JWTZ ?
OOOOOH Aisee! TISS ndio utawala wenyewe hao JWTZ ni washika mitutu
Kuna TISS ndani ya JWTZ, inakuja taarifa kuwa wanajeshi fulani na fulani wanatarajia kufanya mapinduzi kitaundwa kikosi cha TISS na mapandikizi ya TISS huko JWTZ draft linapanguliwa
Ww naona nikuache tu.. kama ulivyo niepushe mengiHuijui tiss wewe,
ngoja nikupe mfano mdogo tu,
diwani athuman, alikua jeshi la polisi kwa miaka mingapi akitumikia vyeo mbali mbali, ghafla akateuliwa kuwa DG..
ulikua unajua kama alikua tiss??
[emoji23][emoji23][emoji23] wacha weee.....unaweza kuta nabishana na watu ambao wanajua tiss ni wale wanaolinda viongozi tu.
Unajua kimsingi waziri waulinzi anasimamia sera na kupeleka budget za jeshi bungeni ila hana say yyte ya ki amri ya kijeshi kwa CDF na CDF ndo mtendaji mkuu wa jeshi...CDF anamsafara na vingo'ra na ulinzi wakati huo waziri hatembei na msafara wala ulinzi hyo tu ni picha inaonesha waziri wa ulinzi ni ceremonial leader tu ila CDF ni boss wa jeshiKwani Mkuu wa Majeshi na Waziri wa Ulinzi nani mkubwa?
Seniority hadi IGP ni mkubwa kwa DG wa TISS lakini je kiuhalisia iko ivo? Nani ana clearance na Rais 24/7 nani ana taarifa nyingi zaidi?
[emoji23][emoji23][emoji23] yeye anadhan vishoka hawajulikan sijui? Yeye hajui anfikiri basi na wengine hawajui... mbona hata mama ntilie wapo kinachomshangaza ni nn. Tulale mwayaWw naona nikuache tu.. kama ulivyo niepushe mengi
Tupe mfano wa nchi moja ambayo ma generali wa majeshi walipanga mapinduz na kuamrisha vijana afu idara za usalama zikafanikisha kufanya hivo....hahah stop that nonsense, TISS wanauwezo wakumshambulia Nani kwa silaha kutoka wapi na wapo wangapi huko jeshini? Nchi yyte ile jeshi ndio msingi wa ulinzi na ndio final say hamna idara inaeweza kupambana na jeshiTISS wanashindwa kumshughulikia/washughulikia watakaopanga mapinduzi ndani ya JWTZ ?
OOOOOH Aisee! TISS ndio utawala wenyewe hao JWTZ ni washika mitutu
Kuna TISS ndani ya JWTZ, inakuja taarifa kuwa wanajeshi fulani na fulani wanatarajia kufanya mapinduzi kitaundwa kikosi cha TISS na mapandikizi ya TISS huko JWTZ draft linapanguliwa