Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Tutajuaje au tutaamini vipi kuwa haya madai yako ni ya kweli?Kati ya wale wabunge 19 kuna mbunge mmoja alipigiwa simu na kiongozi mkubwa wa chadema na alimwambia wamepata nafasi 19 but watachaguliwa kwa kanda because viti ni vichache sana
Hiyo ilikuwa ni 2 weeks before sakata lote kutokea so maybe chadema walikubaliana kukubali au ni kweli walipeleka
Ndio shida yenu chadema that's why mnafeliTutajuaje au tutaamini vipi kuwa haya madai yako ni ya kweli?
No, siyo ubishi!Sasa unataka nikubali kila kitu ambacho kila mtu anasema bila ya kuwepo kwa ushahidi?Unaelewa kuwa mambo mengi ambayo watu huongea ni porojo tu na wala siyo fact?Ndio shida yenu chadema that's why mnafeli
Mnakuwa ni wazee wa ubishi Sana,
Msimamo wa NEC mpaka sasa ni kuwa majina yalitoka Chadema na yanabaraka za CC.
Ushaidi gani unao?Kati ya wale wabunge 19 kuna mbunge mmoja alipigiwa simu na kiongozi mkubwa wa chadema na alimwambia wamepata nafasi 19 but watachaguliwa kwa kanda because viti ni vichache sana
Hiyo ilikuwa ni 2 weeks before sakata lote kutokea so maybe chadema walikubaliana kukubali au ni kweli walipeleka
Mnyika amekupa ushahidi gani kuwa hakupeleka majina?No, siyo ubishi!Sasa unataka nikubali kila kitu ambacho kila mtu anasema bila ya kuwepo kwa ushahidi?Unaelewa kuwa mambo mengi ambayo watu huongea ni porojo tu na wala siyo fact?Kwa mfano Mimi nikikuambia kuwa aliefoji sahihi ya Mnyika kwenye zile fomu ni Magufuli,utakubaliana na mimi?Ndiyo maana ushahidi wa aongeacho mtu ni muhimu sana.Porojo na propaganda hazina nafasi katika mijadala!
Alionyesha zile fomu walizopewa na NEC ambazo kama walipeleka majina walipaswa kuzijaza na kuzirudisha NECMnyika amekupa ushahidi gani kuwa hakupeleka majina?
Wat if copy ndio alionesha na original ndio alipeleka?Alionyesha zile fomu walizopewa na NEC ambazo kama walipeleka majina walipaswa kuzijaza na kuzirudisha NEC
Je kwenye barua ya chadema yenye majina kumi na tisa kwenda neki?Kwenye zile form za ubunge hakuna sahihi ya mnyika so hakuna swala la kufoji
Unaweza kuthibitisha kuwa alionyesha copy?Tofauti na hapo tunapiga porojo!Wat if copy ndio alionesha na original ndio alipeleka?
Ndio maana nikasema wat if,Unaweza kuthibitisha kuwa alionyesha copy?Tofauti na hapo tunapiga porojo!
Unataka kutuma ujumbe gani?Kwamba akina Mdee ni wabunge halali?Ndio maana nikasema wat if,
Coz zile form lazima utoe copy so na ww usimwamini Mnyika coz maybe alituonesha blank copy wakati original alishajaza na kuzituma
Awamu ya 5 hakuna kufuata KATIBA Mkuu!! Ukiangalia tu ngoma invyochezwa unajua kabisa COVID19 wana baraka kutoka "JUU" na pia baraka za "MAFEDHA" na MKUU NDUGAI.Chadema wanasema hawakupeleka majina NEC,nani alipeleka?
NEC wanasema Mnyika kama katibu mkuu aliwapelekea majina tena yaliyopewa baraka na kamati kuu ya Chadema. Hii ni kweli au sio kweli?
Spika anadai hawezi kuvua ubunge wabunge ambao kwa mujibu wa katiba ya JMT sasa hivi hawana chama maana walishatimuliwa Chadema. Kisa tu NEC ya Wilson Mahera ilimpa majina. Ok kama NEC ilimpa majina bado wanasifa za kuwa wabunge kama ibara ya 67(b) na 71(e) inavyoweka wazi?
Au ndio kusema undavaundava tu hata kwenye mambo ya kuzingagia Katiba na sheria?
Chadema wanaweza kuupa ukweli umma wa watanzania ili tujue nani alipeleka majina? Nahisi kuna jinai inanukia, kama haipo kuna mtu mkubwa Cdm mpenda dili anahusika,Tanzania nzima inamfahamu.
Absolutely yesUnataka kutuma ujumbe gani?Kwamba akina Mdee ni wabunge halali?
Kama hivi?Nadhani CHADEMA wanapaswa kuiandikia NEC barua kuijulisha kwamba hao wabunge wamepoteza sifa za kuendelea kuwa wabunge sababu wamefukuzwa chama.
Halafu NEC ndio walijulishe bunge.
Chadema walishasema kuwa hawatambui uchaguzi na chochote kitokanacho na uchaguzi huo.Absolutely yes
Wanaweza wasiwe halali kwa majina yao sio ambayo yaliopelekwa na chadema
Ni kama ww uweke Jina la watoto wako then wakaenda watoto wa mdogo wako but lengo la kukubali ubunge lilishapitishwa
Hawa madiwani ambao wameapa wametoka kwenye uchaguzi gani?Chadema walishasema kuwa hawatambui uchaguzi na chochote kitokanacho na uchaguzi huo.
Then wao wanapata faida gani ikiwa huo ubunge hawautaki?Kama hivi?
View attachment 1645314