Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yote ni matapeli tupuNani anaundanganya Umma wa Tanzania au Watumishi wa umma wa nchi hii? Msemaji wa serikali anasema wamewapa viongozi wa TUCTA muda wakajadiliane.
Wakati huo huo Rais wa TUCTA anasema wameipa serikali muda ije na majibu kwa nini nyongeza ya mshahara imekuwa tofauti.
Kwa vyovyote vile kati ya TUCTA na serikali upande mmoja unawadanganya wafanyakazi wa nchi hii.
Majadiriano❌23.3% hiyo ni hesabu inayohitaji majadiriano?
Huyo ni MkimbiziMajadiriano❌
Majadiliano✅
R na L ni donda ndugu hata kwa unaodhani wanajitambua.
Ndio anapopafahamu mkuu mwache atupe madini ya huko.Wewe kila kitu ni South Africa!
Kwani mpaka Mh.Rais anatangaza hiyo NYONGEZA je Tucta na Serikali zilikuwa hazijajadiliana?Ukweli Watumishi Wamepingwa Changa la MachoNani anaundanganya Umma wa Tanzania au Watumishi wa umma wa nchi hii? Msemaji wa serikali anasema wamewapa viongozi wa TUCTA muda wakajadiliane.
Wakati huo huo Rais wa TUCTA anasema wameipa serikali muda ije na majibu kwa nini nyongeza ya mshahara imekuwa tofauti.
Kwa vyovyote vile kati ya TUCTA na serikali upande mmoja unawadanganya wafanyakazi wa nchi hii.
Tena na kitu chenye ncha Kali sio kizito tuKwani mpaka Mh.Rais anatangaza hiyo NYONGEZA je Tucta na Serikali zilikuwa hazijajadiliana?Ukweli Watumishi Wamepingwa Changa la Macho