Nani Muongo kati ya Msemaji wa Serikali na Rais wa TUCTA?

Nimeikumbuka CWT ya Gracian Mkoba
 
Yote ni matapeli tupu
 
Hao wote ni makada watiifu wa kijani hivyo hizo kauli zao lengo kuu ni kuwa adaa penal colony wa serikali
 
Kwani mpaka Mh.Rais anatangaza hiyo NYONGEZA je Tucta na Serikali zilikuwa hazijajadiliana?Ukweli Watumishi Wamepingwa Changa la Macho
 
Reactions: F4B
Kwani mpaka Mh.Rais anatangaza hiyo NYONGEZA je Tucta na Serikali zilikuwa hazijajadiliana?Ukweli Watumishi Wamepingwa Changa la Macho
Tena na kitu chenye ncha Kali sio kizito tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…