Umenikumbusha mbali, Elections 2010 - Mchakato Majimboni: JJ. Myika, Ubungo Yako, Njia NyeupeHellow Tanganyika!!
Miaka Ile palifana sana kuangalia kipindi Cha Mchakato Majimboni,
Jambo hili lilifanya wagombea wa chama tawala kuhudhuria kipindi sababu usingetokea ungepoteza point Kwa wananchi.
Sasa tunataka tena kipindi hiki kurudi, swali ni nani jasiri wa kukirudisha?
Cc:Pascal Mayalla
Karibuni 🙏
Jambo hili liko ndani ya uwezo wako P.Umenikumbusha mbali, Elections 2010 - Mchakato Majimboni: JJ. Myika, Ubungo Yako, Njia Nyeupe
P
Mimi umri umesonga songa, kipindi kinahitaji kijana shababi kama Chief Odemba, Kikeke, Mtozi Aloyce Nyanda, etc, mimi kwa sasa nimejikita kusaidia jamii Kipindi cha TV, Kutoa Elimu ya Katiba, Sheria na Haki, Kuanza Jumapili Hii Kupita Channel TenJambo hili liko ndani ya uwezo wako P.
Sio ume jikita kutafuta teuziMimi umri umesonga songa, kipindi kinahitaji kijana shababi kama Chief Odemba, Kikeke, Mtozi Aloyce Nyanda, etc, mimi kwa sasa nimejikita kusaidia jamii Kipindi cha TV, Kutoa Elimu ya Katiba, Sheria na Haki, Kuanza Jumapili Hii Kupita Channel Ten
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04P
Umri Si tatizo,Mimi umri umesonga songa, kipindi kinahitaji kijana shababi kama Chief Odemba, Kikeke, Mtozi Aloyce Nyanda, etc, mimi kwa sasa nimejikita kusaidia jamii Kipindi cha TV, Kutoa Elimu ya Katiba, Sheria na Haki, Kuanza Jumapili Hii Kupita Channel Ten
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04P
Ile title ya kipindiKuna jamaa wa wasafi nadhani Charles William yuko vizuri sana pia kwenye kuhoji maswali technical kwa wahudhuriaji wa midahalo yake.
Hiyo channel tulikwisha kuambia siyo rafiki, rushia StarTV au ITVMimi umri umesonga songa, kipindi kinahitaji kijana shababi kama Chief Odemba, Kikeke, Mtozi Aloyce Nyanda, etc, mimi kwa sasa nimejikita kusaidia jamii Kipindi cha TV, Kutoa Elimu ya Katiba, Sheria na Haki, Kuanza Jumapili Hii Kupita Channel Ten
Kikeke analiweza hili.Hayupo na tena ni sera ya chama cha majizi kuhepa midahalo maana hawana sera za kunadi zaidi ya kusema mama kafanya hiki mama kafanya kile.
Watu kama Tido Mhando hawapo tena hadi wakurugenzi wa mashirika ni machawa siku hizi na wanavaa sare zimeandikwa SSH.
Sidhani..Kikeke analiweza hili.
🤣🤣Kama nakuelewa hiviHiyo channel tulikwisha kuambia siyo rafiki, rushia StarTV au ITV