Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,741
- 13,049
Kasumba za siasa za ujamaa na kujitegemea.Alikua mfadhili wa TANU Enzi za mkoloni halafu Wakoloni wala hawakutishia biashara zake; walijali uchumi if I'm not mistaken, sijui kwanini wakoloni weusi hawa wakisikia tu mtu awe na mapenzi tu na upinzani, lazima biashara zake ziingie matatizoni, hawajali uchumi, wanajali chama chao tu!