Nani mwenye historia ya John Rupia, Mwana TANU na tajiri wa kwanza mweusi mitaa ya Kariakoo?

Kasumba za siasa za ujamaa na kujitegemea.
 
Kuna ukoo wa Lupia huko Tabora, wana macho makubwa kidogo pia ni waongeaji sana,

Bila shaka itakuwa ni sehemu ya familia yake,
Ila hawa nnao wajua mimi wanamaisha ya kawaida sana,
Wengi ni walimu.
Rupia ni ukoo mkubwa sana...hao wa Tabora hata mimi nawasikia wako maeneo ya BACHU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…