cold water
JF-Expert Member
- Oct 6, 2021
- 238
- 954
Nipo kwenye kampuni fulani, kila siku nakusanya cash ifikapo jioni nafunga hesabu zangu namkabidhi boss.shida ni kwamba boss ajawahi kuhesabu pesa ninazompa kila siku, ukifika mda wa makabidhiano utasikia tu nakuamini weka kwenye droo, Mimi akinambia hivyo naziweka lakini moyoni silizikagi na jibu lake nimesoma uhasibu hata yeye pia ni mhasibu, sasa nashangaa mambo yake yakutohakiki pesa anapopewa.
Binafsi naonaga ni vizuri kukabidhiana pesa kimahesabu,sasa nilimpa miamala kama minne milioni NNE zilikuwa mbili, na milioni tatu na point zilikuwa mbili, by then miamala ilikuwa ya siku NNE, sasa cha kushangaza siku ya tano kazibeba pesa kama zilivyo bila kuzihesabu,zikaenda kuhesabiwa huko huko bank na mtu wa bank,anarudi toka bank ananiambia 60000/= (sitini elfu haipo) katika zile pesa nilizomkabidhi, Mimi nilibaki kumshangaa tu nikamwambia boss Mimi sielewi pesa zote zilikamilika na kila pesa niliitenga kwenye bahasha yake na kuandika Amount niliyoipata kwa siku.
Hiyo loss nashindwa kuelewa imetokea wapi. Boss mvivu sana kwenye kurudia kuhesabu pesa,sasa nimemshauri anunue machine ya kuhesabia ili kuepuka mambo kama aya!!!!! Alinistress mood yote ya kazi ikaisha hadi Leo, akili haijakaa sawa, kwasababu pesa nilihesabu vizuri kila pesa ilitimia na sikugawa ata senti, hadi Leo hii sijaelewa hiyo loss ya elfu sitini imetoka wapi. Je, Sitini elfu niilipe Mimi?
Wakati pesa nilishamkabidhi boss lakini hakuzihesabu, kama nilivyowaelezea hapo juu,Angehesabu siku ile ile ya makabidhiano angeniambia pesa haijatimia ningemuelewa.lakini pesa nimekupa juzi ujahesabu Leo unaniambia haijatimia kweli jamani?
Mimi simuelewi boss mwezenu kuhusu hii loss, eh wana sheria nisaidieni hapa kwa mnavyoona nyie kutokana na maelezo aya nani mwenye makosa hapa?
Binafsi naonaga ni vizuri kukabidhiana pesa kimahesabu,sasa nilimpa miamala kama minne milioni NNE zilikuwa mbili, na milioni tatu na point zilikuwa mbili, by then miamala ilikuwa ya siku NNE, sasa cha kushangaza siku ya tano kazibeba pesa kama zilivyo bila kuzihesabu,zikaenda kuhesabiwa huko huko bank na mtu wa bank,anarudi toka bank ananiambia 60000/= (sitini elfu haipo) katika zile pesa nilizomkabidhi, Mimi nilibaki kumshangaa tu nikamwambia boss Mimi sielewi pesa zote zilikamilika na kila pesa niliitenga kwenye bahasha yake na kuandika Amount niliyoipata kwa siku.
Hiyo loss nashindwa kuelewa imetokea wapi. Boss mvivu sana kwenye kurudia kuhesabu pesa,sasa nimemshauri anunue machine ya kuhesabia ili kuepuka mambo kama aya!!!!! Alinistress mood yote ya kazi ikaisha hadi Leo, akili haijakaa sawa, kwasababu pesa nilihesabu vizuri kila pesa ilitimia na sikugawa ata senti, hadi Leo hii sijaelewa hiyo loss ya elfu sitini imetoka wapi. Je, Sitini elfu niilipe Mimi?
Wakati pesa nilishamkabidhi boss lakini hakuzihesabu, kama nilivyowaelezea hapo juu,Angehesabu siku ile ile ya makabidhiano angeniambia pesa haijatimia ningemuelewa.lakini pesa nimekupa juzi ujahesabu Leo unaniambia haijatimia kweli jamani?
Mimi simuelewi boss mwezenu kuhusu hii loss, eh wana sheria nisaidieni hapa kwa mnavyoona nyie kutokana na maelezo aya nani mwenye makosa hapa?