Hakuna demokrasia hapo bali ni uozo mtupu, lazima kiongozi utatue matatizo ya wananchi wako sio kuya kimbia kwa kigezo cha kujihuzuru.
:Rundo la Watanzania wajinga ni mtaji wa wanasiasa mafisadi wa hii nchi [ Ccm, Chadema, Nccr, Act, Cuf n.k ]
Xi Jinping ana nizuia vipi mimi kuelewa ? Ulimchagua wewe Xi Jinping kuwa Rais wa milele ?Huwezi kuelewa kwa sababu unamshabikia Xi Jinping rais wa milele.
Taasisi madhubuti hutokana na watu/wananchi imara na wanaojielewa katika kudhibiti viongozi.Nchi za Italy, Sweden, Belgium, Uingereza n.k zenye taasisi madhubuti za serikali kuu zenye makatibu wakuu wa mawizara na viongozi wa serikali za majimbo / serikali za mitaa madhubuti zinaweza kuendelea na kuendesha nchi hata miaka 3 na zaidi bila ya kuwa na waziri mkuu na baraza la mawaziri.
Nchi zenye taasisi dhaifu zisizokuwa huru na maafisa wakuu wa serikali makada (mfano CCM) kama makatibu wakuu na viongozi wa halmashauri za wilaya dhaifu ndiyo hutegemea jeshi la mtu mmoja yaani ulazima wa uwepo wa rais mtendaji au mkuu wa serikali waziri mkuu ili kazi ziendelee .
Mfano katiba ya nchi kumrundikia rais au waziri mkuu kuteua makatibu wakuu wa wizara, wakurugenzi wa ndani ya mawizara, wakurugenzi watendaji wa miji, halmshauri n.k ni kutengeneza taasisi hizo kuwa dhaifu.
Hii hupelekea Wateuliwa wa rais kukosa ubunifu, kushindwa kushauri, kuto kutoa nafasi ya ushiriki-mawazo wa raia na kubwa kukosa uwezo wa kufanya maamuzi makubwa kwa faida ya raia wa nchi na taifa lao maana wanangoja maelekezo ya rais ameagiza nini ametoa tamko gani, ameshauri nini n.k .
MALUNDE
https://www.malunde.com › 2021/08
rais samia ateua wakurugenzi wa halmashauri za wilaya ,jiji, miji ...
2 Aug 2021 — Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wakurugenzi Watendji wa Halmashauri za Jiji, Miji, Manispaa , wilaya
Udikteta au umwinyi ??! Yaani udikteta au Ufalme !! = my take Dikteta hamuogopi MTU bali yeye ndio anaogopewa kwahiyo kila MTU atatimiza wajibu wake au anaondoka kwenye nafasi !! Mfalme naye hamuogopi MTU yeyote maana Nchi ni yake na watu ni watu wake !! Hafikirii uchaguzi wala nini yeye anataka aone nchi yake na watu wake wananawiri na wanamtukuza mtukufu Mfalme !! Kwisha habari yake !!Afrika mtu akiwa kiongozi wale wa chini yake wanageuka chawa, na kuanza kumsifia na unafiki mbere kwa mbere. Teuzi za kupeana kama zawadi au shukrani bila kujali sifa na uwezo.
Hii tabia ipo kuanzia chama tawala mpaka vyama vya upinzani. Hakuna uwajibikaji na kumkosoa kiongozi akiwa madarakani ni uhaini.
Nchi za afrika mfumo wa udikteta au umwinyi ndio unatufaa, demokrasia haitekelezeki kinachifanyika ni usanii.
Maneno mazito !!Taasisi madhubuti hutokana na watu/wananchi imara na wanaojielewa katika kudhibiti viongozi.
Watawala wengi wa kiafrika huteua chawa/mbwa wao kusimamia taasisi.
Utamaduni huu husababisha wananchi wengi kuamini kuwa ili uchaguliwe au kuteuliwa lazima ujipendekeze kwa viongozi na matokeo yake nchi humilikiwa na viongozi ambao pia kwa sababu ya tabia ya uchawa wao kabla hawajawa viongozi, hujikuta wakijifanya chawa wa mataifa makubwa.
Ili kuondokana na hali hii, ni lazima wawepo wananchi watakaojitoa mhanga kudhibiti viongozi ili nchi zirudi mikononi mwa raia.
Ni lazima kuwezesha wananchi wazawa kiuchumi bila kuwapa uongozi wa kisiasa ili waweze kuilinda nchi kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni.
Viongozi wengi wanaotokana na uchawa hawawezi kuilinda nchi na hata kumsaidia mwananchi wa kawaida.
Exactly,hyo ni vurugu halafu ni utoto.watajiuzulu wangp?Hakuna demokrasia hapo, kilichopo ni vurugu tupu.
Duh !'Huwezi kuelewa kwa sababu unamshabikia Xi Jinping rais wa milele.
Mkuu wala usipate shida au kuumiza kichwa kwa sababu ya matendo maovu na low performance za watawala wa Afrika. Hawa sio viongozi bali ni wachumiatumbo wakubwa. Utasubiri hadi Yesu anarudi humuoni mchumiatumbo hata mmoja akijiudhuru hata kwa unafiki tu.Nasubiri kuona kiongozi wetu mkuu kuiga mfano halisi wa demokrasia sahihi na hakika kutoka kwa kiongozi wa jumuiya ya madola.
Yaaani ndani ya kipindi cha mwezi mmoja na nusu tumeshuhudia kwa macho yetu wenyewe kabisa mawaziri wakuu wawili tena wa dola kubwa sana duniani wakijiuzulu kutokana tu na vionho,i wenzao kusema tu hawana imani nao.
Nafikiria apa mfano ndo ingekuwa ni katika moja wapo ya nchi za kiafrika je jambo kama hili lingewezekena? si kwamba tushuhudia umwagaji mkubwa sana wa damu yaani raia wasio na hatia kuuwawa na makundi mawili ambayo ndo yangekuwa yana hasimiana.
Natamani sana kiongozi wetu mkuu wa dola kama na yeye anagalau ata kwa unafiki kidogo tu angeiga ama kufata nyayo za baba wa jumuiya ya madola ingekuwa poa sana.
Angalau kwa kutoa basi nafasi na fursa sawa kwa wanasiasa wote wanaofanya siasa tanzania, uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa vyombo vya habari.
Kiukweli leo ndo nimeamini wenzetu wamefika katika stage ya juu sana hasa kwenye suala la ustaarabu yaani wako very civilized wazungu wamestaarabika mno.
Nawasilisha.
Kama yupo atakuwa ni mbishi tu wa kuzaliwa. !!Bado namsubiri yeyote mwenye shaka juu ya demokrasia ya wamagharibi
Duh !! Hatar sn !Mkuu wala usipate shida au kuumiza kichwa kwa sababu ya matendo maovu na low performance za watawala wa Afrika. Hawa sio viongozi bali ni wachumiatumbo wakubwa. Utasubiri hadi Yesu anarudi humuoni mchumiatumbo hata mmoja akijiudhuru hata kwa unafiki tu.
Yana ukweli na uzito wa kijisahihisha kiafrika zaidi, kwa faida ya wote.Maneno mazito !!
Etwege na Magonjwa Mtambuka watabisha. Kwao demokrasia ni kuunga juhudiAjitokeze mwenye mashaka mpaka sasa na hii demokrasia ya hawa mnao waita mabeberu asee hawa jamaa wamefika level ya juu mno katika kustaarabika wako very civilised indeed!
Yaaani katika swala la ustaarabu duuuh nimewavulia kofia jamaa wana haki kabisa ya kututawala hapo awali
Wanajielewa, wanajitambua , wanaufahamu mkubwa sana, na viongozi wote wa magharibi wapo kwa ajili ya maslahai ya wanancji wao!
Tatizo wengine ukiwaambia ukweli unakuwa ni Adui yao !! Watakuja banyamulenge wa kukudhuru au kukutusi !!Yana ukweli na uzito wa kijisahihisha kiafrika zaidi, kwa faida ya wote.
Katika yote uliyoandika sijaona demokrasia imeingiaje hapoNasubiri kuona kiongozi wetu mkuu kuiga mfano halisi wa demokrasia sahihi na hakika kutoka kwa kiongozi wa jumuiya ya madola.
Yaaani ndani ya kipindi cha mwezi mmoja na nusu tumeshuhudia kwa macho yetu wenyewe kabisa mawaziri wakuu wawili tena wa dola kubwa sana duniani wakijiuzulu kutokana tu na vionho,i wenzao kusema tu hawana imani nao.
Nafikiria apa mfano ndo ingekuwa ni katika moja wapo ya nchi za kiafrika je jambo kama hili lingewezekena? si kwamba tushuhudia umwagaji mkubwa sana wa damu yaani raia wasio na hatia kuuwawa na makundi mawili ambayo ndo yangekuwa yana hasimiana.
Natamani sana kiongozi wetu mkuu wa dola kama na yeye anagalau ata kwa unafiki kidogo tu angeiga ama kufata nyayo za baba wa jumuiya ya madola ingekuwa poa sana.
Angalau kwa kutoa basi nafasi na fursa sawa kwa wanasiasa wote wanaofanya siasa tanzania, uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa vyombo vya habari.
Kiukweli leo ndo nimeamini wenzetu wamefika katika stage ya juu sana hasa kwenye suala la ustaarabu yaani wako very civilized wazungu wamestaarabika mno.
Nawasilisha.
Hao wanaofuata Demokrasia wanajiweza kiuchumi. Tofauti na Afrika kiongozi anatafuta madaraka ili iwe ni channel ya kula keki ya Taifa,wenzetu wanatafuta madaraka kutengeneza heshima kwenye Taifa na ikitokea watu hawamkubali inakua rahisi kujiuzulu.Nasubiri kuona kiongozi wetu mkuu kuiga mfano halisi wa demokrasia sahihi na hakika kutoka kwa kiongozi wa jumuiya ya madola.
Yaaani ndani ya kipindi cha mwezi mmoja na nusu tumeshuhudia kwa macho yetu wenyewe kabisa mawaziri wakuu wawili tena wa dola kubwa sana duniani wakijiuzulu kutokana tu na vionho,i wenzao kusema tu hawana imani nao.
Nafikiria apa mfano ndo ingekuwa ni katika moja wapo ya nchi za kiafrika je jambo kama hili lingewezekena? si kwamba tushuhudia umwagaji mkubwa sana wa damu yaani raia wasio na hatia kuuwawa na makundi mawili ambayo ndo yangekuwa yana hasimiana.
Natamani sana kiongozi wetu mkuu wa dola kama na yeye anagalau ata kwa unafiki kidogo tu angeiga ama kufata nyayo za baba wa jumuiya ya madola ingekuwa poa sana.
Angalau kwa kutoa basi nafasi na fursa sawa kwa wanasiasa wote wanaofanya siasa tanzania, uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa vyombo vya habari.
Kiukweli leo ndo nimeamini wenzetu wamefika katika stage ya juu sana hasa kwenye suala la ustaarabu yaani wako very civilized wazungu wamestaarabika mno.
Nawasilisha.
Uongozi si sehemu ya kumpima mtu, sio sehemu ya majaribio.Nchi kuwa unstable na uongozi ndo demokrasia?.. kiongozi anapimwaje Kwa mwezi mmoja Tu?..ni upumbavu mtupu