Nani mwenye shaka juu ya demokrasia ya nchi za Magaharibi hasa baada ya Waziri Mkuu Uingereza kujiuzulu?

Nani mwenye shaka juu ya demokrasia ya nchi za Magaharibi hasa baada ya Waziri Mkuu Uingereza kujiuzulu?

Nasubiri kuona kiongozi wetu mkuu kuiga mfano halisi wa demokrasia sahihi na hakika kutoka kwa kiongozi wa jumuiya ya madola.

Yaaani ndani ya kipindi cha mwezi mmoja na nusu tumeshuhudia kwa macho yetu wenyewe kabisa mawaziri wakuu wawili tena wa dola kubwa sana duniani wakijiuzulu kutokana tu na vionho,i wenzao kusema tu hawana imani nao.

Nafikiria apa mfano ndo ingekuwa ni katika moja wapo ya nchi za kiafrika je jambo kama hili lingewezekena? si kwamba tushuhudia umwagaji mkubwa sana wa damu yaani raia wasio na hatia kuuwawa na makundi mawili ambayo ndo yangekuwa yana hasimiana.

Natamani sana kiongozi wetu mkuu wa dola kama na yeye anagalau ata kwa unafiki kidogo tu angeiga ama kufata nyayo za baba wa jumuiya ya madola ingekuwa poa sana.

Angalau kwa kutoa basi nafasi na fursa sawa kwa wanasiasa wote wanaofanya siasa tanzania, uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa vyombo vya habari.

Kiukweli leo ndo nimeamini wenzetu wamefika katika stage ya juu sana hasa kwenye suala la ustaarabu yaani wako very civilized wazungu wamestaarabika mno.

Nawasilisha.
kademokrasia katoweka
 
Tatizo wengine ukiwaambia ukweli unakuwa ni Adui yao !! Watakuja banyamulenge wa kukudhuru au kukutusi !!
Ni ujinga tu kwa kuwa maoni ni ya jumla bila kulenga mtu mmoja kwa ajili ya kupanua fikra kwa faida ya kizazi hiki na vijavyo.
Kudhuru au kutusi kunasababishwa na uhayawani wa kichawa/mbwa.
Binadamu atatafsiri hoja, ajibu kwa hoja kinzani na kujirekebisha inapobidi
 
Ni ujinga tu kwa kuwa maoni ni ya jumla bila kulenga mtu mmoja kwa ajili ya kupanua fikra kwa faida ya kizazi hiki na vijavyo.
Kudhuru au kutusi kunasababishwa na uhayawani wa kichawa/mbwa.
Binadamu atatafsiri hoja, ajibu kwa hoja kinzani na kujirekebisha inapobidi
Exactly ndivyo waungwana wenye Akili na hekima wafanyavyo. !!
 
3 December 2019
Helsinki, Finland

Waziri mkuu ajiuzulu baada ya miezi sita ya kuwa madarakani. Hii ni baada ya washirika wake ktk serikali ya umoja wa kitaifa kujitoa kwa madai ya waziri mkuu kushindwa kutatua madai ya wafanyakazi wa huduma za posta na shirika la ndege Finnair kugoma


Finland’s prime minister resigns over postal service dispute​

Finland's prime minister says he is resigning after a key coalition partner withdrew its support from his five-party Cabinet
By
JARI TANNER Associated Press
December 3, 2019, 9:51 AM ET
• 3 min read
WireAP_14ebad05418a4964a35df9d204b9762b_16x9_992.jpg

News headlines today: Dec. 23, 2020Catch up on the developing stories making headlines.The Associated Press

HELSINKI -- Finland's prime minister resigned Tuesday after a key coalition partner withdrew its support from his five-party government following a strike at the country’s postal service that spread to the national flag carrier Finnair.

Antti Rinne, who only took office in June, has faced heavy criticism in recent days over how he and a fellow Social Democratic minister dealt with a two-week strike of the country’s state-owned postal service Posti in November READ MORE : Finland’s prime minister resigns over postal service dispute
 
9 October 2022
Vienna, Austria

Waziri mkuu chancellor Sebastian Kurz wa Austria ajiuzulu


Soma zaidi



Austrian Chancellor Sebastian Kurz suddenly resigned Saturday amid corruption allegations regarding his use of federal funds that was leading to a potential no-confidence vote from opposition leaders.

According to The Washington Post, 35-year-old Kurz denied the allegations against him but recommended that power be transferred to Austrian Foreign Minister Alexander Schallenberg.

"My country is more important to me than my person," Kurz said during a televised address Saturday, according to the Washington Post. "I want to make space, to prevent chaos and ensure stability."

Members of Parliament were planning to hold a vote of no-confidence against Cruz on Tuesday after officials last week announced that he and some of his closest allies were the subjects of a corruption investigation.

According to a report from Bloomberg, Kurz and nine others are accused of using federal funds to pay a newspaper publisher to help him achieve his speedy rise to power. His offices were raided by authorities on Wednesday, according to The Washington Post.
 
Ni ngumu sana kulinganisha wao na inawenyewe kuna tofauti kubwa. Inawenyewe wabinafsi lakini wao wamoja kwa maslahi ya wote.
 
NAOMBENI anaejua anisaidie.

KWANINI HIZO NCHI ZINAITWA NCHI ZA MAGHARIBI
 
Nchi za Italy, Sweden, Belgium, Uingereza n.k zenye taasisi madhubuti za serikali kuu zenye makatibu wakuu wa mawizara na viongozi wa serikali za majimbo / serikali za mitaa madhubuti zinaweza kuendelea na kuendesha nchi hata miaka 3 na zaidi bila ya kuwa na waziri mkuu na baraza la mawaziri.

Nchi zenye taasisi dhaifu zisizokuwa huru na maafisa wakuu wa serikali makada (mfano CCM) kama makatibu wakuu na viongozi wa halmashauri za wilaya dhaifu ndiyo hutegemea jeshi la mtu mmoja yaani ulazima wa uwepo wa rais mtendaji au mkuu wa serikali waziri mkuu ili kazi ziendelee .

Mfano katiba ya nchi kumrundikia rais au waziri mkuu kuteua makatibu wakuu wa wizara, wakurugenzi wa ndani ya mawizara, wakurugenzi watendaji wa miji, halmshauri n.k ni kutengeneza taasisi hizo kuwa dhaifu.

Hii hupelekea Wateuliwa wa rais kukosa ubunifu, kushindwa kushauri, kuto kutoa nafasi ya ushiriki-mawazo wa raia na kubwa kukosa uwezo wa kufanya maamuzi makubwa kwa faida ya raia wa nchi na taifa lao maana wanangoja maelekezo ya rais ameagiza nini ametoa tamko gani, ameshauri nini n.k .

MALUNDE
https://www.malunde.com › 2021/08
rais samia ateua wakurugenzi wa halmashauri za wilaya ,jiji, miji ...

2 Aug 2021 — Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wakurugenzi Watendji wa Halmashauri za Jiji, Miji, Manispaa , wilaya
Tofautisha serikali zinazoongozwa na Mawaziri Wakuu na zile zinazoongozwa na Marais. Mawaziri Wakuu wengi hawapigiwi kura moja kwa moja na wananchi. Mfano Uingereza. Mbona hatusikii wabunge wa Uingereza (wanaopigiwa kura moja kwa moja na wananchi hawajiuzulu?)

Marais mfano wa Tanzania, Ufaransa na Marekani hawewezi kujiuzulu ovyo ovyo kwasababu wana dhamana kubwa waliyopewa na wananchi wao kutoka kwenye sanduku la kura. Kama unabisha, nitajie Rais wa nchi mojawapo aliyepigiwa kura na wananchi halafu akajiuzulu kiholelaholela.
 
Tofautisha serikali zinazoongozwa na Mawaziri Wakuu na zile zinazoongozwa na Marais. Mawaziri Wakuu wengi hawapigiwi kura moja kwa moja na wananchi. Mfano Uingereza. Mbona hatusikii wabunge wa Uingereza (wanaopigiwa kura moja kwa moja na wananchi hawajiuzulu?)

Marais mfano wa Tanzania, Ufaransa na Marekani hawewezi kujiuzulu ovyo ovyo kwasababu wana dhamana kubwa waliyopewa na wananchi wao kutoka kwenye sanduku la kura. Kama unabisha, nitajie Rais wa nchi mojawapo aliyepigiwa kura na wananchi halafu akajiuzulu kiholelaholela.
Wewe ni mtu mjinga nadhani wa mwisho apa jf kama kweli umeenda shule basi nasikitika kukwambia kwamba ulipoteza muda na ada yako bure yaani unaongea as if huna ubongo mkuu wangu aseee

Yaani u ajaribu kumaanisha nini kwa hiki unachokiongea je nini unafahamu kuhusu hii dhana ya uwajibikaji yani na nini unafahamu kuhusu demokrasia
 
Wewe ni mtu mjinga nadhani wa mwisho apa jf kama kweli umeenda shule basi nasikitika kukwambia kwamba ulipoteza muda na ada yako bure yaani unaongea as if huna ubongo mkuu wangu aseee

Yaani u ajaribu kumaanisha nini kwa hiki unachokiongea je nini unafahamu kuhusu hii dhana ya uwajibikaji yani na nini unafahamu kuhusu demokrasia
Mi ni mjinga, sawa. Lakini wewe utakuwa MPUMBAVU NAMBA MOJA HUMU JF. Mi mi nimetoa mawazo yangu. Kwa UPUMBAVU WAKO umeshindwa na wewe kutoa hoja zako kupinga za kwangu unanitukana. SHENZI TAIPU!!
 
Huku kutaka kuwa kama wenzetu tukumbuke pia wao hawakuwa hivyo kwa matokeo ya siku moja kama ambavyo sisi tunataka iwe.
 
Wakati Wale walikuwa wanaimba " Tuna Imani na Lo..... oyaaa oyaaa oyaaa

Halafu jamaa aliposhika kijiti akasema hiiii yaani mimi nusu wange....

Sasa unafikiri huyo wa kwanza kusema hatuna Imani na Rais au PM nani ataongea akinyakuliwa?
Kwa Afrika hapana kabisa hata Amini alisema
There is Freedom of speech but I cannot guarantee Freedom after Speech
 
22 October 2022
Rome, Italy

LIVE: Giorgia Meloni To Be Sworn In as Italy’s 1st woman PM | Official Swearing-In Ceremony LIVE

 
Giorgia Meloni: We are ready to govern Italy



Brothers of Italy (Fratelli d'Italia). Brothers of Italy is a national-conservative and right-wing populist political party in Italy led by Giorgia Meloni.

More info :

21 October 2022

MELONI GOVERNMENT, ALBANO: A PAGE OF ITALIAN HISTORY WRITTEN​


1666443683448.png


“Giorgia Meloni and the Brothers of Italy worked silently to quickly form a government capable of giving concrete and immediate responses to citizens. Thus, in a record time also defined by the President of the Republic, the government of the first female Prime Minister was born. Today we are writing a page of history but starting tomorrow we will be called to work for the future of Italy. We are aware of the delicacy of the moment and for this reason we will act with great responsibility ”.

Lucia Albano, deputy of the Brothers of Italy, declares it.
Source : Governo Meloni, Albano: scritta una pagina di storia italiana - Fratelli d'Italia
 
3 August 2020
BELGIUM SIKU 592 BILA KUWA NA WAZIRI MKUU


Nchi ya Belgium imevuja rekodi, kwa kutokuwa na kiongozi wa serikali kwa siku 592.

Pia imewahi kutokea huko nyuma nchi hii ya Belgium kuendelea bila kutetereka kwa siku 541 bila kuwa na kiongozi mkuu wa serikali yaani waziri mkuu

Kuwepo kwa taasisi imara zinazoongozwa na makatibu wakuu wa mawizara na zile taasisi za serikali za Mitaa kumewezesha nchi kazi iendelee bila ya kuwepo waziri mkuu ...

The Brussels Times
https://www.brusselstimes.com › bel...
Belgium breaks own record for longest period without government

3 Aug 2020 — It has been 592 days since the previous government, led by former Prime Minister Charles Michel, collapsed over inter........
Strained negotiations after last year's elections in May have routinely collapsed as party leaders and several top government officials resign from their mission to steer the coalition negotiations.

The previous record for Belgium's longest post-election period without a government stands at 541 days and ended with the swearing-in of Former Prime Minister Elio Di Rupo after a similarly convoluted negotiation period followed the June 2010 elections Source : Belgium breaks own record for longest period without government

08 July 2023

Tunajiuzulu baada ya kukosa utashi wa kisiasa / legitimacy asema Mh. Mark Rutte waziri mkuu wa Belgium


Kwa mara nyingine nchi ya Belgium inashuhudia waziri mkuu wa serikali akijiuzulu kutokana na kushindwa sera na hoja zake kueleweka. Nchi hii ya ulaya ina historia ya kujiendesha yenyewe hata pale wanasiasa kama waziri mkuu kujiuzulu na kukosekana waziri mkuu kwa kipindi kirefu kutokana na mifumo imara ya uendeshaji nchi ulio shirikishi usiotegemea mtu bali watendaji makini katika ngazi za serikali kuu kama makatibu wa mawizara na watendaji katika serikali za mitaa.


Dutch Prime Minister Mark Rutte has resigned after the collapse of his coalition government sparked by disagreements over the country's refugee policy. For months, ministers have been discussing new measures to limit the flow of asylum seekers into the Netherlands, but after failing to reach a consensus on Friday, the four-party coalition crumbled.
 
Ajitokeze mwenye mashaka mpaka sasa na hii demokrasia ya hawa mnao waita mabeberu asee hawa jamaa wamefika level ya juu mno katika kustaarabika wako very civilised indeed!

Yaaani katika swala la ustaarabu duuuh nimewavulia kofia jamaa wana haki kabisa ya kututawala hapo awali

Wanajielewa, wanajitambua , wanaufahamu mkubwa sana, na viongozi wote wa magharibi wapo kwa ajili ya maslahai ya wanancji wao!
kwa jicho la juu juu ni kweli, lakini unaweza kunipa mfano wa nchi za magharibi zenye rais anayechaguliwa na watu akijiuzulu "ovyo ovyo"? Mfano mmoja tu!
 
Back
Top Bottom