Sheillah Sheillah
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 653
- 1,698
Sipendi kusikia jina langu linatajwa. Hata mtu akiniuliza ninaitwa nani natamani nimdanganye. Maana sijisikii poa kulitamka jina langu. Bora kuliandika na sio kutamka. Nikilitamka najiona sijui natamka kitu gani. Hadi pumzi zinakata.
Baby alinitaja jina langu kwenye sita kwa sita nilishtuka kama vile sio jina langu[emoji23][emoji23][emoji23]. Hadi hamu ikakata. Nilijua hili tatizo ninalo mimi tu, ila leo nimegundua ni tatizo la wengi. Usimlaumu mtu akikudanganya jina, kuna wengine hatuyapendi.
Haya, mlale salama.
Baby alinitaja jina langu kwenye sita kwa sita nilishtuka kama vile sio jina langu[emoji23][emoji23][emoji23]. Hadi hamu ikakata. Nilijua hili tatizo ninalo mimi tu, ila leo nimegundua ni tatizo la wengi. Usimlaumu mtu akikudanganya jina, kuna wengine hatuyapendi.
Haya, mlale salama.