Nani mwingine katumiwa email na FUNDSFORAFRICA

Nani mwingine katumiwa email na FUNDSFORAFRICA

Asante kwa ushauri Mkuu
Ndo Maana nikaona nishare humu, na nikataka kujua na kama kuna watu wengine wametumiwa Maana siku hizi wapigaji ni wengi
Sasa unataka wapigaji wale wapi mzee??
Tukiwaomba pesa hamtupi
Lazima channel itengenezwe ili mpigwe vzr tena kwa ushirikiano wako mwenyewe
 
Wakuuu Mambo vipi tena kwenu mimi
Mtumishi wa Mungu,
Naulizia hivi nani Mwingine katumiwa hii email ya fundsforafrica waliiiona Tangazo
Mimi nimetumiwa lakini siielewi elewi

Kwenye zile nafasi za procurement na field officer

View attachment 1919283

Ndugu yangu katumiwa email kama hii! Yeye aliomba nafasi ya Program Manager! Baada ya email akajiunga na kulipia ili kufanya hiyo Psychometric Test! Akalipia $45 na kuifanya! Akafaulu vizuri tu (95%) na wakamtumia cheti! Alipowasilisha cheti hakujibiwa tena! Leo tayari wiki moja imepita!!! Baada ya mimi kuwafuatilia nikapata jamaa yangu mwingine naye walimtumia email kama hiyo! Bahati nzuri akaistukia akaachana nao ndo ikawa pona yake! Funds for Afrika ni matapeli 100%!!!
 
Ndugu yangu katumiwa email kama hii! Yeye aliomba nafasi ya Program Manager! Baada ya email akajiunga na kulipia ili kufanya hiyo Psychometric Test! Akalipia $45 na kuifanya! Akafaulu vizuri tu (95%) na wakamtumia cheti! Alipowasilisha cheti hakujibiwa tena! Leo tayari wiki moja imepita!!! Baada ya mimi kuwafuatilia nikapata jamaa yangu mwingine naye walimtumia email kama hiyo! Bahati nzuri akaistukia akaachana nao ndo ikawa pona yake! Funds for Afrika ni matapeli 100%!!!
😀 😀 😀 asanteninsana kwa taarifa wadau, angalau itasaidia wengine kutopigwa na hawa jamaa.
 
Matapeli hao kaa mbali hakuna interview inalipiwa Hawa nilishakutana nao mara mbili wapo foodhunger wapi na fundforafrica
 
Back
Top Bottom