Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 2,968
- 8,139
Wote hao, ila kila mmoja kwa muda wake.Kati ya hawa guys wafuatao ni nani anaweza akauteka moyo wa mwanamke easily?
1.FUNNY GUY
2.ROMANTIC GUY
3.RICH GUY
4.HANDSOME GUY
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote hao, ila kila mmoja kwa muda wake.Kati ya hawa guys wafuatao ni nani anaweza akauteka moyo wa mwanamke easily?
1.FUNNY GUY
2.ROMANTIC GUY
3.RICH GUY
4.HANDSOME GUY
ila namba 3 ni fayaaaaaaaUwe na sifa zote nne hapo.
hhaahhahahahahahWote hao, ila kila mmoja kwa muda wake.
Romantic guy! Yaani anidekeze tu kama toto dogo kumbe jitu zima dah[emoji7] hivo vingine vyote majaaliwa
Aah hapana for me! Awe romantic tu pesa na utajiri tutatafuta wote😀 najua huamini ila ipo hivo tena hao matajiri sana hawanaga muda wa romantic issues wanawaza miradi tu, ukitaka kutoka out naye anakwambia aah babe nenda mwenyewe na driver na ile range, chukua na kadi ya bank! Sasa hapo ni mke ama business partner tu.Amini usiamini
Hilo deko
Linamezwa na utajili na fun pia
Kumbe mwepesi sana ww.....5. Caring guy
Kwangu mie ni namba 1 na hiyo 5 niliyoongezea,napenda sana funny guys...kuna muda unakuta mtu unamiss hadi uwepo wake
Ndio ni mwepesi sanaKumbe mwepesi sana ww.....
Kumbe mwepesi sana ww5. Caring guy
Kwangu mie ni namba 1 na hiyo 5 niliyoongezea,napenda sana funny guys...kuna muda unakuta mtu unamiss hadi uwepo wake
Mrahisi....Ndio ni mwepesi sana
Huo ujinga utafanya pekeyako....Aah hapana for me! Awe romantic tu pesa na utajiri tutatafuta wote😀 najua huamini ila ipo hivo tena hao matajiri sana hawanaga muda wa romantic issues wanawaza miradi tu, ukitaka kutoka out naye anakwambia aah babe nenda mwenyewe na driver na ile range, chukua na kadi ya bank! Sasa hapo ni mke ama business partner tu.
Na babe wangu wa kawaida nikimwambia tutoke out twende zetu hata coco beach tukale mihogo na vimishkaki buku buku tunaenda huku tukiwa tumeshikana mikono maana tuanaenda kwa miguu tu🤔😜 raha hiyoo
Ndio mimi mwepesi sanaKumbe mwepesi sana ww
Mrahisi....
jino moja tu....kitu kinawaka
Aah hapana for me! Awe romantic tu pesa na utajiri tutatafuta wote[emoji3] najua huamini ila ipo hivo tena hao matajiri sana hawanaga muda wa romantic issues wanawaza miradi tu, ukitaka kutoka out naye anakwambia aah babe nenda mwenyewe na driver na ile range, chukua na kadi ya bank! Sasa hapo ni mke ama business partner tu.
Na babe wangu wa kawaida nikimwambia tutoke out twende zetu hata coco beach tukale mihogo na vimishkaki buku buku tunaenda huku tukiwa tumeshikana mikono maana tuanaenda kwa miguu tu[emoji848][emoji12] raha hiyoo
Daah mkuu gentlemen wanaojua thamani ya mwanamke wanahudumia hivo muda wote si muda wa kunyanduana kuna vitu vingi vizuri zaidi ya hivo,alafu tuheshimu basi japo kidogo hayo maneno yako hapo mmh😏Huo ujinga utafanya pekeyako....
mwanamke ana thamani ukitaka kumpiga dudu tu baas.....
Hapo ni maneno na vitendo mkuu! Namaanisha nilichokiandika, why huamini?Uzuri wa kuongea [emoji23][emoji23][emoji23]
Haushahabiani na vitendo
Ndio ukweli huo nimekupa.....Daah mkuu gentlemen wanaojua thamani ya mwanamke wanahudumia hivo muda wote si muda wa kunyanduana kuna vitu vingi vizuri zaidi ya hivo,alafu tuheshimu basi japo kidogo hayo maneno yako hapo mmh😏
kwahiyo wewe thamani ya mkeo ni wakati wa mnyanduano tu? Hamna kitu kingine anaweza kukwambia kukushauri cha maana? Unahisi kwanini?
Inategemea na mazingira.....
Ndio anikute nna njaa, hela sina ntakula ufunny???
Yeah kuna demu anakupenda jinsi tu unavoichezea kwa umahiri ku.ma yakeHahahahahaha kwa hiyo aongezwe mtombaji guy [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah si kweli bana! Kuna vitu vingi tunaweza kuvijenga pamoja apart from mnyanduano tu.Ndio ukweli huo nimekupa.....
au unataka nikudanganye...