Nani ni Mjasiriamali Bora wa Mwaka 2013 wa jamii forum kati ya hawa watatu?

Nani ni Mjasiriamali Bora wa Mwaka 2013 wa jamii forum kati ya hawa watatu?

Nani ni mjasiriamali bora wa mwaka 2013 wa jamii forum kati ya hawa watatu?


  • Total voters
    8
  • Poll closed .

Eberhard

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2010
Posts
1,153
Reaction score
809
pigia kura jina moja kati ya haya matatu tupate mjasiriamali bora wa Jamii forum wa mwaka 2013.

1. Mama Joe
2. Kubota
3. Malila
Mwisho wa kupiga kura ni tarehe 31 December 2013.

No Multiple choice
 
Mjasiriamali na Mchuuzi,mkuu labda ungeweka biashara zao ingekuwa fresh,maana namjua malila kwenye kilimo hao wengine wapo kwenye nini hasa? Tusije kuwachagua kumbe ni wachuuzi,ni kweli kabisa JF wapo hao tu wa3? Je yule aliyeanzisha ufugaji wa kuku? Je yule wa miti ya pines? Je yule anayefuga nguruwe? Ebu weka biashara zao na mafanikio yao hapo ndio itakuwa vizuri.
 
mjasiriamali na mchuuzi,mkuu labda ungeweka biashara zao ingekuwa fresh,maana namjua malila kwenye kilimo hao wengine wapo kwenye nini hasa? Tusije kuwachagua kumbe ni wachuuzi,ni kweli kabisa jf wapo hao tu wa3? Je yule aliyeanzisha ufugaji wa kuku? Je yule wa miti ya pines? Je yule anayefuga nguruwe? Ebu weka biashara zao na mafanikio yao hapo ndio itakuwa vizuri.
tulitoa muda wa watu kupendekeza majina. Sasa ni kupiga kura tu. Pia topics walizopost ujue biashara zao.
 
pigia kura jina moja kati ya haya matatu tupate mjasiriamali bora wa Jamii forum wa mwaka 2013.
1. Mama Joe
2. Kubota
3. Malila
Mwisho wa kupiga kura ni tarehe 31 December 2013.

No Multiple choice
Eberhard sifahamu umetumia vigezo gani kupata candidates watatu, lakini hata katika hao haikuwa matarajio yangu jina la Chasha kukosekana!
 
Back
Top Bottom