Nani ni Mjasiriamali Bora wa Mwaka 2013 wa jamii forum kati ya hawa watatu?

Nani ni Mjasiriamali Bora wa Mwaka 2013 wa jamii forum kati ya hawa watatu?

Nani ni mjasiriamali bora wa mwaka 2013 wa jamii forum kati ya hawa watatu?


  • Total voters
    8
  • Poll closed .
wakuu leo ni mwisho wa kupiga kura. Malila anakaribia kuwa mshindi.
 
wakuu malila ndiyo mshindi wa shindano tuliloliendesha la mjasiriamali bora wa mwaka2013.
 
Malila namkubali,kuna project nilifanya hamasa ikitoka kwenye bandiko lake..na inaendelea poa sana.
 
Last edited by a moderator:
dah, nimechelewwa ila Malila popote ulipo nakukubali mwanzo mwisho.
 
Last edited by a moderator:
Malila is my no one, akifuatiwa na Kubota
 
Ni kweli Malila ndo mtu wa kwanza wa JF kukutana nae. Na ndie alinifundisha kuhusu kilimo. Kabla ya hapo nilikuwa nafuga kama zima moto nikiwa na shida tu. Kubota kwake nimejifunza kuku wa kienyeji na kufuga muda mrefu kiasi namshukuru Mungu kiasi fulani mwaka huu 20% ya mapato yangu imetokana na kilimo na ufugaji. Mwanzoni nikielezea kuku wa kisasa nilisema ...my only regret ni bado zaidi ya 90% ya mapato yangu ni kutoka mshahara. Nikichangia mada na kina Chasha na Eberhard nilisema plan yangu ni 2015 ninakuwa mjasiriamali halisi kwa 100%. Kwaiyo ninaona kama kuniweka hapa ni changamoto nikazane kuifikia plan hii. Naomba kuwashukuru wanajukwaa wote hasa waufugaji kuku ambao kwa pamoja nimejifunza mengi kwenu. Happy New Year.
dah! kumbe wengi mnamkubali malila eheee!
 
Ni kweli Malila ndo mtu wa kwanza wa JF kukutana nae. Na ndie alinifundisha kuhusu kilimo. Kabla ya hapo nilikuwa nafuga kama zima moto nikiwa na shida tu. Kubota kwake nimejifunza kuku wa kienyeji na kufuga muda mrefu kiasi namshukuru Mungu kiasi fulani mwaka huu 20% ya mapato yangu imetokana na kilimo na ufugaji. Mwanzoni nikielezea kuku wa kisasa nilisema ...my only regret ni bado zaidi ya 90% ya mapato yangu ni kutoka mshahara. Nikichangia mada na kina Chasha na Eberhard nilisema plan yangu ni 2015 ninakuwa mjasiriamali halisi kwa 100%. Kwaiyo ninaona kama kuniweka hapa ni changamoto nikazane kuifikia plan hii. Naomba kuwashukuru wanajukwaa wote hasa waufugaji kuku ambao kwa pamoja nimejifunza mengi kwenu. Happy New Year.
Tuko pamoja mama Joe. Mimi mwenyewe hali ikiendelea hivi mwaka huu nguruwe watanipaisha. Nimeona kuna utajiri mkubwa kwenye ufugaji. Lakini kubota amepotea kweli.
 
Hongera sana mimi nitajaribu miti na mbuzi. Nimedhamiria huu mwaka kipato kilingane mshahara na ujasiriamali. Naamini nitawezeshwa tu. Kubota mikaa imemtoa ukulima kabisa huyu
Tuko pamoja mama Joe. Mimi mwenyewe hali ikiendelea hivi mwaka huu nguruwe watanipaisha. Nimeona kuna utajiri mkubwa kwenye ufugaji. Lakini kubota amepotea kweli.
 
Hongera sana mimi nitajaribu miti na mbuzi. Nimedhamiria huu mwaka kipato kilingane mshahara na ujasiriamali. Naamini nitawezeshwa tu. Kubota mikaa imemtoa ukulima kabisa huyu
mbuzi pia wanalipa sana. mimi nawafuga pia.
 
Shukrani,

Naomba niwashukuru wadau wote wa jukwaa hili kwa kunipa changamoto hii kubwa. Halikuwa jambo la mzaha ambalo jukwaa lilikuwa linafanya,kwa wenzangu tulioshiriki na ambao hawakuingia, ni kwamba jamii inataka kuona tunaongeza juhudi na kuwa chachu ya maendeleo kwa wengi.

Hongereni sana. Naamini kwa njia hii tunaweza kukuza network yetu hatimaye tukapata soko la bidhaa zetu kama timu moja.
 
mbuzi pia wanalipa sana. mimi nawafuga pia.

Je una mbegu ya pacha? Kuna mbegu ya mbuzi inayofyatua watoto wanne kwa mkupuo, iko Kigoma. Ukipata hiyo umeula. Kuna mahali Kilwa kisiwani kuna mbuzi alishusha watoto watano, niliwaona.

Ninao wachache, pale Mkuranga.
 
aisee hili jukwaa ni endelevu sana,ninawapongeza wote waliopendekezwa kwa ajili ya shindano hili na yule aliyekua mshindi,ninaamini watzidi kuwa mfano bora na msaada kwa wengine,binafsi ninatizamia pia kuwa mjasiriamali,ninatarajia kujifunza mengi kutoka kwenu.
 
Back
Top Bottom