Nani ni Mjasiriamali Bora wa Mwaka 2013 wa jamii forum kati ya hawa watatu?

Nani ni Mjasiriamali Bora wa Mwaka 2013 wa jamii forum kati ya hawa watatu?

Nani ni mjasiriamali bora wa mwaka 2013 wa jamii forum kati ya hawa watatu?


  • Total voters
    8
  • Poll closed .
Je una mbegu ya pacha? Kuna mbegu ya mbuzi inayofyatua watoto wanne kwa mkupuo, iko Kigoma. Ukipata hiyo umeula. Kuna mahali Kilwa kisiwani kuna mbuzi alishusha watoto watano, niliwaona.

Ninao wachache, pale Mkuranga.
Ninakulia timing na hao pacha wako ngoja utulie na mission za kulima nitakutafuta kakaangu.
 
Asante,
Hujaja kuangalia maandalizi ya mapumziko garden, gwaride linaendelea,unakaribishwa kuja kutoa maoni.

ni sehemu gani Malila? nipe direction nitafika.
 
Last edited by a moderator:
ni sehemu gani Malila? nipe direction nitafika.

Ni Mkuranga,

Nenda Mbagala Rangi tatu terminal, uliza magari yanayokwenda Shungubweni kupitia Mkuranga mjini na Msolwa. Ukipanda hilo daladala/Kipanya waambie unashuka Msolwa pale kwenye mabanda ya mbuzi kabla ya kuvuka daraja la mto Galawani. nauli ni tsh 3000/.
 
Ni Mkuranga,

Nenda Mbagala Rangi tatu terminal, uliza magari yanayokwenda Shungubweni kupitia Mkuranga mjini na Msolwa. Ukipanda hilo daladala/Kipanya waambie unashuka Msolwa pale kwenye mabanda ya mbuzi kabla ya kuvuka daraja la mto Galawani. nauli ni tsh 3000/.
kumbe ni mkuranga, sijawahi kufika ila nilikuwa na plans za kutembelea huko siku moja maana tuna ofisi nyingine pande hizo. umenipa sababu nyingine na hamasa ya kufika. nikiwa tayari nitakujulisha.
 
Back
Top Bottom