Nani ni rahisi kupata ajira kati ya wanafunzi kozi hizi mbili

Nani ni rahisi kupata ajira kati ya wanafunzi kozi hizi mbili

icon_2000

Senior Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
177
Reaction score
256
Naombeni kuuliza maana hapa kunawatu wanabishana mmja anasoma diploma in accountance chuo cha TIA Na mwingine DUCE bachelor of education in physics.

Ni nani anaweza kuajiliwa kwa haraka kuliko mwingine japopokwa kunachangamoto ya ajira. Nani anaweza kuwa na kiwango kikubwa cha mshahara wakiajiriwa.

Tuna omba ufafanuzi na hapa tunausoma ili wapunguze kubishana.

Asanteni
 
Naombeni kuuliza maana hapa kunawatu wanabishana mmja anasoma diploma in accountance chuo cha TIA Na mwingine DUCE bachelor of education in physics.

Ni nani anaweza kuajiliwa kwa haraka kuliko mwingine japopokwa kunachangamoto ya ajira.
Nani anaweza kuwa nakiwango kikubwa cha mshahara wakiajiriwa.

Tuna omba ufafanuzi na hapa tunausoma ili wapunguze kubishana.

Asanteni
Mwenye connection atapata ajira haraka
 
Naombeni kuuliza maana hapa kunawatu wanabishana mmja anasoma diploma in accountance chuo cha TIA Na mwingine DUCE bachelor of education in physics.

Ni nani anaweza kuajiliwa kwa haraka kuliko mwingine japopokwa kunachangamoto ya ajira. Nani anaweza kuwa na kiwango kikubwa cha mshahara wakiajiriwa.

Tuna omba ufafanuzi na hapa tunausoma ili wapunguze kubishana.

Asanteni
Wakiajiriwa wapi sasa? Private au TAMISEMI kwa mwenye kifua kipana?
 
Back
Top Bottom