Naombeni kuuliza maana hapa kunawatu wanabishana mmja anasoma diploma in accountance chuo cha TIA Na mwingine DUCE bachelor of education in physics.
Ni nani anaweza kuajiliwa kwa haraka kuliko mwingine japopokwa kunachangamoto ya ajira. Nani anaweza kuwa na kiwango kikubwa cha mshahara wakiajiriwa.
Tuna omba ufafanuzi na hapa tunausoma ili wapunguze kubishana.
Asanteni
Ni nani anaweza kuajiliwa kwa haraka kuliko mwingine japopokwa kunachangamoto ya ajira. Nani anaweza kuwa na kiwango kikubwa cha mshahara wakiajiriwa.
Tuna omba ufafanuzi na hapa tunausoma ili wapunguze kubishana.
Asanteni