Asante kwa ufafanuzi nuzi wakoPage yenyewe ya Ajira inaitwa "Ajira zetu", Zile ni ajira zao ...
Ahsante kwa maelezo ya kinaMind set hizi bado mko nazo? Soma kile ambacho unaweza kuja kuki apply mtaani na life ikasonga mbele, sasa endeleenu kujidanganga na hizo mindset zenu chini ha huu utawala wa CCM
Mwenye connection atapata ajira harakaNaombeni kuuliza maana hapa kunawatu wanabishana mmja anasoma diploma in accountance chuo cha TIA Na mwingine DUCE bachelor of education in physics.
Ni nani anaweza kuajiliwa kwa haraka kuliko mwingine japopokwa kunachangamoto ya ajira.
Nani anaweza kuwa nakiwango kikubwa cha mshahara wakiajiriwa.
Tuna omba ufafanuzi na hapa tunausoma ili wapunguze kubishana.
Asanteni
Ahsante kwa maelezo ya kinaMind set hizi bado mko nazo? Soma kile ambacho unaweza kuja kuki apply mtaani na life ikasonga mbele, sasa endeleenu kujidanganga na hizo mindset zenu chini ha huu utawala wa CCM
Wakiajiriwa wapi sasa? Private au TAMISEMI kwa mwenye kifua kipana?Naombeni kuuliza maana hapa kunawatu wanabishana mmja anasoma diploma in accountance chuo cha TIA Na mwingine DUCE bachelor of education in physics.
Ni nani anaweza kuajiliwa kwa haraka kuliko mwingine japopokwa kunachangamoto ya ajira. Nani anaweza kuwa na kiwango kikubwa cha mshahara wakiajiriwa.
Tuna omba ufafanuzi na hapa tunausoma ili wapunguze kubishana.
Asanteni
Pote poteWakiajiriwa wapi sasa? Private au TAMISEMI kwa mwenye kifua kipana?
Popote pale. Ni jibu la jumla. Sehemu pekee Ambayo unaweza tabir mshahara wa mtu ni government mana unaweza hata kuuliza ambapo mwenye degree hupata mshahara mkubwa kidogo kuliko diploma japo inategemea na fani.Pote pote