Maelezo Murua Kabisa.Alikuwa mwingereza aliyezaliwa India mwaka 1945. Alisoma Philosophy chuoni Cambridge na kuwa mwanafunzi mzuri sana wa Plato. Baadaye alipata draft kwenda jeshini ambapo ndipo alipopata kumjua MUNGU akiwa huko kwenye jangwa za north Africa. Alitokea kuwa Mwalimu wa Biblia mzuri kupindukia. Alifundisha Biblia katika namna rahisi na ya kueleweka kwa mtu wa aina yoyote. Alifariki na kuzikwa huko Yerusalem Israel mwaka 2003.
Vizuri Sana Mkuu, Japo Ingekuwa Vizuri Uweke Na Sababu Walau Moja Kila Huyo Role Model.Role Models wangu ni
1.John Paul II (Mungu Amrehemu)
2.Ignatius of Loyola (Mungu Amrehemu)
3.Ignatius of Antioch (Mungu Amrehemu)
4.Augustino of Hippo (Mungu Amrehemu)
5.Paul the Apostle (Mungu Amrehemu)
However, There's No Provided Multiple Choice Questions For You To Answer "None Of The Above "
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]However, There's No Provided Multiple Choice Questions For You To Answer "None Of The Above "
Sent using Jamii Forums mobile app
Tayari Mkuu angalia upyaVizuri Sana Mkuu, Japo Ingekuwa Vizuri Uweke Na Sababu Walau Moja Kila Huyo Role Model.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona Umeshusha Madini Vilivyo.Tayari Mkuu angalia upya
Yeah
Ungetupia Hata Brief Background Yao Mkuu.GARY KASPAROV
BOBBY FISCHER
JIM KWIK
Yeees!