Nani Role model Wako?

Nani Role model Wako?

Ha Ha Ha!
Corruption? Stop Kidding Dude Have You Heard About 1.5 Trillions Go Down The Drain?


Sent using Jamii Forums mobile app
Yes, I heard, am still hearing and I will continue hearing SUCH STORIES.People have the right to say ANYTHING that suits there agendas and goals at any time. Yes we will hear these stories as long as one does not like or appreciate what you are doing.
 
Role model wangu ni Nelson Mandela amenifundisha somo Kubwa kwenye maisha ambalo ni msamaha kwa watesi wetu.

Wapili ni Patrice Lumumba ambaye harakati zake zilizimwa na CIA, ila alikuwa na solid ideas kuhusu Africans.

Tatu, lucky dube huyu ana messages nyingi nzuri kupitia nyimbo zake. Hasa Hii " Slave " kwa heavy drinkers ikiwamo mimi niliacha pombe nina mwaka wa tano kutokana na huu wimbo.

Wamwisho ni Abraham Lincoln, Huyu amenifundisha Somo Kuhusu kufail na kutokata tamaa, huyu alishindwa Mara Kadha Wa Kadha kwenye chaguzi Lakini hakukata tamaa mpaka Akawa Rais Marekani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi Nelso Mandela amenifundisha samehe woooote lakini sio mwanamke aliye cheat.. Hili nifundisho kubwa sana
 
Back
Top Bottom