Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,796
- 2,367
Acheni wehu.Duuh!
Le Mutuz Shoga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni wehu.Duuh!
Le Mutuz Shoga?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ray Vanny
Mondray
Mkuu kuwa specific basi hiyo picha ina watu wengi nani kati yao Baba mwenye mji au huyo mchina?
Duuh!
Le Mutuz Shoga?
Nawasalimu Wote!
Kuna Msemo " We are What
We are Because of Other people"
Ni Ukweli Kabisa Kwenye
Hekaheka Zetu Za Kila Siku
Tuna Fanya Mambo Mengi
Makubwa Kwa Kuiga Mfano
Toka Kwa Mtu Au Watu Fulani
Niwe Muwazi Kwa Hapa Bongo
Ninao Watu Wanaonifanya Niwe
Mtu Wa Tofauti Kwenye Nyanja
Mbalimbali Kwa Mfano Kwenye
Siasa Namkubali Sana Andrew
Chenge, Kwenye Sheria Lissu,
Kwenye Utajiri Nimrod Mkono.
1. Andrew Chenge - Amenifanya
Nidhamirie Kuwa Mwanasiasa
Wa Aina Yake. Sijui Nitampataje
Nionane Nae Uso kwa Uso.
2. Tundu Lissu - Amenifanya
Niipende Taaluma Ya Sheria
Ukiachalia Mbali Nilikuwa Mpenzi
Wa Sayansi Lakini Huyu Mtu
Amenifanya Nigundue Wito Wangu
Ni Kuwa Lawyer.
3. Nimrod Mkono -Mbali Na Utajiri
Wake Kutotangazwa Hovyo Naamini Hakuna Mtanzania Anaye
Mvaa Kifedha. Anyway, Nimevutiwa
Na Style Ya Utajiri Wake.
Ningependa Kujua Kutoka Kwenu
Watu Walio Saidia Kukubadilisha
Kimtazamo, Kifikra, Kitabia, Kimaendeleo nk....
Duh! Ndyo maana wanakuita mchicha pori Mdogo wanguRay Vanny
Mondray
JPM umemsahau hapoRole Models wangu ni kama wafuatao
- Idi Amin Dada
- Adolf Hitler
- Charles Taylor
- Joseph Kony
- Osama Bin Laden
- Saddam Hussein
- Muamar Ghaddafi
mawazo yanguYesu Kristo,
Yale majibu yake na mifano dhahiri imenifanya ñitamani kuwa kama yeye