mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
Kwa wale wazee wenzangu na wafuatiliaji mabunge awamu mbali mbali, nimeona Leo tujikite kidogo kuangalia maspika wa Bunge walioongoza Bunge vipindi mbali mbali, Kila mmoja alikuwa na staili yake, Kariba yake, maspika Hawa wote walitoka chama Cha CCM.
Hivyo tuangalie je nani alikuwa Bora zaidi, kuanzia mfuko wa vyama vingi 1995, maspika hao ni Msekwa, Sita, Anna, Ndugai na Tulia.
Hivyo tuangalie je nani alikuwa Bora zaidi, kuanzia mfuko wa vyama vingi 1995, maspika hao ni Msekwa, Sita, Anna, Ndugai na Tulia.