Nani tukacheze katitu?

Nani tukacheze katitu?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Kesho ni weekend... Ndio tunaelekea kuimaliza January dume... Stress zilikuwa nyingi sana.. Magomvi kwenye mahusiano hayakuwa haba.. Tumeshauriana na kupeana moyo sana.. Watu wamepata faraja na kuokoa kuvunjika kwa mahusiano mengi
Kesho iwe ni siku ya stress free... Jiachie walau kidogo.. Ukumbukie enzi za usingo.... Tukacheze KATITU... kama hauko tayari usije ila kama uko tayari nyoa........!!! [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Kesho ni weekend... Ndio tunaelekea kuimaliza January dume... Stress zilikuwa nyingi sana
Strees za nini ww mchawi wa jf..?
Magomvi kwenye mahusiano hayakuwa haba.. Tumeshauriana na kupeana moyo sana.. Watu wamepata faraja na kuokoa kuvunjika kwa mahusiano mengi
Kesho iwe ni siku ya stress free
Iwe stress free wakati vyuma vimekaza hadi hamsini inaitwa shilingi hamsini..?
... Jiachie walau kidogo.. Ukumbukie enzi za usingo.... Tukacheze KATITU... kama hauko tayari usije ila kama uko tayari nyoa
Weee mshana kunyoa nini tenaaa..?
😀😀😀😀[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Kesho ni weekend... Ndio tunaelekea kuimaliza January dume... Stress zilikuwa nyingi sana
Strees za nini ww mchawi wa jf..?
Magomvi kwenye mahusiano hayakuwa haba.. Tumeshauriana na kupeana moyo sana.. Watu wamepata faraja na kuokoa kuvunjika kwa mahusiano mengi
Kesho iwe ni siku ya stress free
Iwe stress free wakati vyuma vimekaza hadi hamsini inaitwa shilingi hamsini..?
... Jiachie walau kidogo.. Ukumbukie enzi za usingo.... Tukacheze KATITU... kama hauko tayari usije ila kama uko tayari nyoa
Weee mshana kunyoa nini tenaaa..?
😀😀😀😀[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
[emoji844] [emoji844] [emoji844] [emoji844] [emoji844] [emoji844]
 
Lah! baada ya kutoswa na nazja.. umeamua kuja kivingine! sasa unatumia njia ya kisasa baada ya tunguli kufika tamati.. utasema nakusimanga!

ngoja niwashauli watakaokuja huko jehanam!
usiende peku ukimwi na malaria vinauwa hakikisheni mmevaa neti mbu ni hatari kwa afya zenu bila kusahau ile mifuko iliyondani ya mifuko!,hlf semeni no tu mabusu homa ya ini inauwa😀
KATITU NJEMA
 
Back
Top Bottom