Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Huwa kunakuwa na maneno mengi sana kwa watu wanaoishi mjini wakiwa na mafanikio hata kidogo huku nyumbani kwao kukiwa bado duni mfano bila nyumba nzuri ya wazazi.
Hiii hutokea rafiki zao wanapofika nyumbani kwao kwa sababu mbalimbali lakini hasa wakati wa msiba, hapo utasikia
"Huyu jamaa anakula bata tu mjini wakati hajajenga hata kwao",
Katika hali hii kwa nini watoto wanalaumiwa na kudharauliwa badala ya wazazi ambao ndio mji wao hasa na wao ndio walipaswa kujenga??
Hiii hutokea rafiki zao wanapofika nyumbani kwao kwa sababu mbalimbali lakini hasa wakati wa msiba, hapo utasikia
"Huyu jamaa anakula bata tu mjini wakati hajajenga hata kwao",
Katika hali hii kwa nini watoto wanalaumiwa na kudharauliwa badala ya wazazi ambao ndio mji wao hasa na wao ndio walipaswa kujenga??