Nani wa kulaumiwa katika usajili huu wa kipa Robertinho au head of scouting aliyeajiliwa na Simba sc kwa lengo la kuleta wachezaji Bora??

Simba ni SIKIO la kufa.

Nilimtumia Email KAJULA.

Nilimuonya kutosajili wachezaji Nje ya Africa.
Nikaambatanisha na mifano.

1. Dejan.
2. Santos.
3. Wilker Da silver.
4. Falager.

Lakini wapi.
LEO AIBU IMEWAPATA.

Duhh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe jamaa unaota au ulikuwa upo kijijini? Bangala kaishasajiliwa Azam fc.
 
Wewe jamaa unaota au ulikuwa upo kijijini? Bangala kaishasajiliwa Azam fc.
Najua hilo, maneno hayo niliyasema toka tarehe 24 kabla Yanga hawajamuachia. Bado Azam wanaweza kumuachia, dirisha la usajili halijafungwa. Anaweza kuja Simba hata kwa mkopo, sisi na Azam ni dugu moya
 
Kwa hiyo si kasaini miaka miwili auilikuwa geresha.......
 
Haya Bangala kaishaachwa na Yanga, vipi mnamtangaza lini Bangala? Yanga walishaonesha hawahitaji huduma ya Bangala na Djuma Shabani kwanzia kwenye wiki ya mwananchi vipi kwanini huyo Bangala mpaka sasa hamjamtangaza?
 
Haya Bangala kaishaachwa na Yanga, vipi mnamtangaza lini Bangala? Yanga walishaonesha hawahitaji huduma ya Bangala na Djuma Shabani kwanzia kwenye wiki ya mwananchi vipi kwanini huyo Bangala mpaka sasa hamjamtangaza?
Kaa karibu na redio yako ndugu mwanakijiji. Halafu usipindishe historia, Bangala ndiyo alikuwa wa kwanza kusema hategemei tena kutoa huduma yake akiwa Yanga kabla hata ya tamasha
 
Najua hilo, maneno hayo niliyasema toka tarehe 24 kabla Yanga hawajamuachia. Bado Azam wanaweza kumuachia, dirisha la usajili halijafungwa
Azam wamuache kwasababu ya lipi? Yaani una hoja ya kutaka huruma na upindashaji wa taratibu na sheria. Wala hauna la maana unachosema, mchezaji kasaini mkataba na Azam halafu wamuachie tu aje kwenu kisa lipi? Hawana uhitaji nae? Au wana huruma sana na nyie?
 
Tusiongee sana, siku hizi sibishani na watu. Natoa kauli halafu nakaa pembeni. Dirisha la usajili halijafungwa na nyie Yanga siku hizi mmekuwa na kauli ya mpira ni biashara, sasa kinachoshindikana ni nini. Kwani Yanga haikuwa inamuhitaji Mayele? Na timu ikimsajili mchezaji na hapo hapo ikamuuza au kumtoa kwa mkopo na mchezaji akaridhia, ni sheria na taratibu gani zinakuwa zimekiukwa?

Ni kama umepaniki hivi kusoma nilichoandika, unaombea kisitokee 😀 😀 😀
 
Kaa karibu na redio yako ndugu mwanakijiji. Halafu usipindishe historia, Bangala ndiyo alikuwa wa kwanza kusema hategemei tena kutoa huduma yake akiwa Yanga kabla hata ya tamasha
Bado nasubiria uniambie ni kwa namna gani Simba inatumia huu mwanya wa Bangala kuachana na Yanga ili kumsainisha mkataba kama ulivyosema kuwa linawezekana
 
Bado nasubiria uniambie ni kwa namna gani Simba inatumia huu mwanya wa Bangala kuachana na Yanga ili kumsainisha mkataba kama ulivyosema kuwa linawezekana
Kwani dirisha la usajili linafungwa lini?
 
Nimeuliza maswali, kama mtu kuuliza maswali anaambiwa kapaniki basi pengine haupendi kuulizwa maswali au pengine maswali yamezidi uwezo wako wa kufikiria.
 
Nimeuliza maswali, kama mtu kuuliza maswali anaambiwa kapaniki basi pengine haupendi kuulizwa maswali au pengine maswali yamezidi uwezo wako wa kufikiria.
Ni wazi umepanick. Umeuliza maswali ambayo kwa mtu wa mpira hauwezi kuuliza na najua majibu unayo. Kutokana na maswali yako, nami nimekuuliza kwani kuondoka kwa Mayele ni kwa sababu Yanga haimuhitaji? Nimekuuliza pia sheria zipi zitakiukwa endapo leo hii Azam akimuachia Bangala kwenda Simba kwa mauziano au kwa mkopo?
 
Wadanganye
 
Mayele kaondoka Yanga kwasababu yeye mwenyewe kataka kuondoka kutafuta changamoto nyingine.

Mchezaji anayepelekwa kwa mkopo ni yule ambaye hawezi kusaidia timu kutokana na kiwango chake ( hana msaada au pengine hamna umuhimu wake)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…