Nani wa kulaumiwa katika usajili huu wa kipa Robertinho au head of scouting aliyeajiliwa na Simba sc kwa lengo la kuleta wachezaji Bora??

Sijui huwa mnaona sifa kubishana kwenye vitu ambavyo viko wazi, maana vitu vingine ukibisha unaonekana mpumbavu tu. Ushabiki sio kubisha kila kitu.
Viko wazi regarding source gani ambayo ni rasmi iliyoweka huo ufafanuzi mnaotaka sisi tukubaliane nao?
 
Endelea kujifariji mkuu ila hilo unalowaza halipo na haliwezekani.
 
Acha uongo ww
 
Kuna Mwaka Simba walikuwa na mawinga Tisa hapo ndipo Anguko lao likaja.

1. Morison.
2. Dilunga.
3.Bwalya.
4. CHIKWENDE.
5 AJIBU.
6. Dankan Nyoni.
7.Pape Sackho.
8. Peter Banda.
9. Jimyson mwinuke


LEO WANARUDIA MAKOSA YALE YALE YA 2020

1. Miquesson.
2. KIBU.
3 Chama.
4. Saido.
5. Mwinuke.
6. Aubin kramo.
7. Onana.


VIONGOZI WA MPIRA NI WABABAISHAJI MNO.
 
Kuna upigaji wa hela pale [emoji16]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Subiri kuitwa shabiki wa Yanga na Saidoo wa JF. Anajua watu yule!! Hata ukitaka akutajie Mtoto wako wa mwisho Yuko darasa la ngapi atakwambia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…