fidel castro wapili
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 3,497
- 2,911
Kumbe Netanyahu ni jizi?Subiri uone kama unadhani kila mtu ni coward. Putin tu aliogopa kwenda South Africa ndio sembuse huyo fisadi Netanyahu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Netanyahu ni jizi?Subiri uone kama unadhani kila mtu ni coward. Putin tu aliogopa kwenda South Africa ndio sembuse huyo fisadi Netanyahu
Hapo kwenye tarafa🤣🤣We sema tu, lakini hujui maana ya mtu kuishi huku akiwa na order ya kukamatwa kwake mkononi. Hawa watu wamezoea kutembea nchi mbali mbali duniani kama wewe unavyokwenda mjini na kurudi nyumbani. Si kiofisi tu bali hata private...
Yes ana kesi ya ufisadi huko Israel, vita ndio imemsaidia kujisafisha kwamba ni mzalendo ila ni jizi.Kumbe Netanyahu ni jizi?
Putin sidhani kama alishwahi kutoka nje ya russia baada ya arrest warrant yake kutokaKuhusu Netanyahu,kama USA na UK haitajihusisha anaweza kamatika.
Ila Putin one man army hakuna anayeweza kumgusa labda China na Turkiye ila nao ni washirika wa Russia.
Alitoka mkuu.Putin sidhani kama alishwahi kutoka nje ya russia baada ya arrest warrant yake kutoka
Juzi tu hapo alikuwa China. Au mi naongea uongo?Putin sidhani kama alishwahi kutoka nje ya russia baada ya arrest warrant yake kutoka
USIUNGANISHE KAMANDA PUTIN NA TAKATAKA NETANYAU PLEASE......WAKUMKAMATA NETANYAU WAPO ILA WAKUMKAMATA PUTIN KAKUNA HATA USA.Hivi kuna mtu wakumkamata Netanyahu na Putin?
Tuache utani, kama Africa kusini walishindwa kumkamata Al Bashir, dunia inaweza kuwakamata Netanyahu na Putin?
Dunia imejaa unafiki. Viongozi wa dunia ni wanafiki.
Walikamate hilo uaji mammaeJuzi tu hapo alikuwa China. Au mi naongea uongo?
Lina kesi mahakamani ya wizi na Rushwa kama US dola milioni 5.Kumbe Netanyahu ni jizi?