Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,505
- 4,427
Leo nimekuja na swali mahususi kwa wapinzani lakini pia linaweza kuulizwa hata kwa CCM ikiwa nao wataanza kurithi tabia hii ya wapinzani ya kususa.
Watu wana ndoto na mipango wanapojiunga na siasa na kwa siasa zetu zinafanyika kupitia vyama hivyo ninaweza kusema ndoto na mipango ya kisiasa ya wanachama ipo mikononi mwa vyama vyao.
Hili lilikuwa ni wazo zuri sana kwamba siasa zinatakiwa kuratibiwa kupitia mfumo rasmi ambao ni vyama.
Miaka ya karibuni jambo hili limegeuka suala linalohitaji mjadala wa kina na tusije zalisha mgogoro mbeleni.
Kutokana na uhitaji wa wanachama kutaka kugombania nafasi mbalimbali na ikatokea viongozi wakagoma kushiriki. Je, nani wa kusimama nao wanapoumizwa na maamuzi hayo?
Watu wana ndoto na mipango wanapojiunga na siasa na kwa siasa zetu zinafanyika kupitia vyama hivyo ninaweza kusema ndoto na mipango ya kisiasa ya wanachama ipo mikononi mwa vyama vyao.
Hili lilikuwa ni wazo zuri sana kwamba siasa zinatakiwa kuratibiwa kupitia mfumo rasmi ambao ni vyama.
Miaka ya karibuni jambo hili limegeuka suala linalohitaji mjadala wa kina na tusije zalisha mgogoro mbeleni.
Kutokana na uhitaji wa wanachama kutaka kugombania nafasi mbalimbali na ikatokea viongozi wakagoma kushiriki. Je, nani wa kusimama nao wanapoumizwa na maamuzi hayo?