Nani wanaongoza kuomba hela?

Nani wanaongoza kuomba hela?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Namba moja michepuko-hao ni balaa!
Namba mbili mama chanja(mamsap)
Namba tatu ndugu na jamaa!
Namba nne, kanisani/msikitini!
Namba tano michango ya jamii-ulinzi shirikish, gari la taka n.k.
Namba sita chama.......!


Mwana JF weka nawe wa kwako!
 
Namba moja michepuko-hao ni balaa!
Namba mbili mama chanja(mamsap)
Namba tatu ndugu na jamaa!
Namba nne, kanisani/msikitini!
Namba tano michango ya jamii-ulinzi shirikish, gari la taka n.k.
Namba sita chama.......!


Mwana JF weka nawe wa kwako!
Wasalimie huko bwana, kesho tukutane kwa Mwl. Mch. ALLEN ADAM MBISO Mchungaji Kiongozi Wa Usharika KKKT MBEZI BEACH. Tutoe na sadaka zetu nono mpaka shetani akasirike
 
Michango ya WADAU ndio iliyonileta hapa
 
Back
Top Bottom