Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa herini jaman hali yangu ni mbaya tuombeani salama..
Kumbe Ni Ges! Chukua Mafuta Yoyote Ya Mgando, Paka Mkunduni (sehemu Yanakotokea Mavi) Baada Ya Robosaa Utapata Nafuu! Jaribu Usipuuze.
Team popo....
Wenye nyota ya mbwa...kazi yao ulinzi...
Kumbe tupo wengi.
Wewe ni kiboko aisee ha ha haaa
Umejaribu Hiyo Dawa Lakini? Poa, Pumzika
We mutu punguza makali ya maneno loh! Hope angeelewa hata bila kusisitiza kwa kupataja kbs
Mimi:beer:
Jerrymsigwa, Njoo Huku Uone, Wamekuja Tena Wanaoota Huku Wanalog In
Mshaanza... Mbona ninyi hatuwafatilii....
Mara Arusha one, mara arusha1 muiwache familia ya watu8 ipumuwe miaka 8000!!!!!!!!!!!
tobaaaa.....mwingine tena!!!
Hehehe!!!! yaani mke wangu anafyatua mapacha tu....hakatwi mtu mirija hapa
Hivi watu8 kumbe jina lako ni reflection ya avatar yako!! Leo nimegundua
Hahaha...avatar na jina vinashahabiana kaka
farkhina ndio unaamka?
farkhina ndio unaamka?
Mmh kuna watu wana nyota ya mbwa?
Usiniambie kuwa umekesha usiku mzima mpaka now!!!!!