Nani yuko macho tupige stori?

Mi sijaamka niko eyes toka kitambo ni farkhina kaniita huku

dah kuna chalii kalikua kanadai kuwa asinzii ata kwa dawa lol chali sas hivi kashaangusha gari chezea ucngizi wewe.
 
Last edited by a moderator:
Dah Mzee siunajua huku kwetu rufiji hizi week end tunakesha na viduku tu,basi leo nilisahau hata jf kuna mwali alikuwa anatolewa hapa

Wacha weee....wajiona kama upo bongo vile...
Hakuna taarabu huko nkarushe roho lol...
 
Jamani hivi kumbe wengine hampo Africa kwenu ni mchana eh? farkhina mmmmhh

Nahisi ndio anapiga mswaki huyo sasa,dah usijali kaka ipo siku na sisi tutapanda pipa tu,maana kwa nyerere hapasomeki kabisa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…