Nani yuko macho tupige stori?

Pole mkuu dah nakumbuka mwaka 2008 hiyo Mandela Road ilikua kwenye rehabilitation jam ilikua hatari wacha kabisa. Nina muda kidogo sijatia maguu motherland nahisi Kama jam imepungua.
dah leo imenibidi nitembee kwa mguu,metoka external kuja ubungo asee mekutana na jam...iyo hatar
 
Pole mkuu dah nakumbuka mwaka 2008 hiyo Mandela Road ilikua kwenye rehabilitation jam ilikua hatari wacha kabisa. Nina muda kidogo sijatia maguu motherland nahisi Kama jam imepungua.
hatal sana makontena yote ya waarabu ndo njia yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…