Nani yuko macho tupige stori?

doh pole mkuu,dah kweli ase hata mi jana sikuwa na mzuka yanga hawajanitendea haki mi shabiki na mpenzi wao.ngoja tukalipize kwa simba kesh kutwaa ase
ahaaa nilihma simba 2015 na kubaki na azam kwa kuogopa ugonjwa wa pressure
 
wapo wachache sana kod tatizo no business
aseee,wanategemea nin sasa hao waloanzisha na kujenga ilo jengo? bora watu waendlee kam zamani na maeneo yao,mana ela hakuna afu uwe unalipa kodi tuu,haiwezekani.
 
doh pole mkuu,dah kweli ase hata mi jana sikuwa na mzuka yanga hawajanitendea haki mi shabiki na mpenzi wao.ngoja tukalipize kwa simba kesh kutwaa ase
Hahahaha, pole pia mkuu
Hawa Simba tutawanyoa tuu maana hatuwez kubali aibu mara mbili
 
aseee,wanategemea nin sasa hao waloanzisha na kujenga ilo jengo? bora watu waendlee kam zamani na maeneo yao,mana ela hakuna afu uwe unalipa kodi tuu,haiwezekani.
ubadhilifu wa bilion 26 ndugu yani ni ishu kama machinga complex utawambia nin vijana wa karume mayfairs
 
ubadhilifu wa bilion 26 ndugu yani ni ishu kama machinga comple utawambia nin vijana wa karume mayfairs
ndo hapo sasa ase,wawawekee mazingira mazur na kodi ya kawaida lada watavutika kuliko ivo,maqjengo yatabaki yenyew then walijenga ya nin? vp kituo chenu cha cha kisasa cha mabus hapo msamvuuu hali ikoje watu wanaenjoy maishaa?
 
ndo hapo sasa ase,wawawekee mazingira mazur na kodi ya kawaida lada watavutika kuliko ivo,maqjengo yatabaki yenyew then walijenga ya nin? vp kituo chenu cha cha kisasa cha mabus hapo msamvuuu hali ikoje watu wanaenjoy maishaa?
moro wamevunja soko kuu na wanataka kushusha njenga hatali na uchum wa kobe sijuh watapanga wakinan kudadek fedha zina mwagika tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…