Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwiiiiii kwa raha zetu!!Raha jipe mwenyewe babu!!Hahahahahaah mambo ya kidole juuu....roho inapaa lol
Poa....mzima?Mimi mambo?
Ujue jamii forum ingekua na kitu kama messenger hivi ambapo waliopo online wanaweza chat privately one to one. Ingeweza kuitwa Jamii messenger. Ni mawazo yangu tu wanajamii
Ahahahahahaha ila mara wasinzia...
Vidume tupo jamani tumetulia tulii tunatafakuri
He he he tafakuri loh :tape::tape::tape::tape:Tushirikishe hizo tafakuri na sie
Wa kusinzia mie basi...
Niko safi ka chuma cha pua....
Salama lakini
Uwiiiiii kwa raha zetu!!Raha jipe mwenyewe babu!!
He he he tafakuri loh :tape::tape::tape::tape:
Ha ha ha kabisa aisee waweza ufe na jiba la roho!!Ukisubiri kupewa utachelewa....
Hahaaaa,,,alafu wanaingia bila kubisha hodi jamani wakat tulikua full kujiachia...mwe mweee
Tafakuri ndyo...
Ha ha ha kabisa aisee waweza ufe na jiba la roho!!
Suala hilo limeshawahi kuzungumziwa lakini nadhani linafanyiwa kazi...Mfano kwenye homepage yangu kuna some kind of instant messenger lakini nikibonyeza inanipeleka kwenye page mpya ambapo natakiwa ni log in na kuanzia hapo havikubali so i think that idea will be established/implemented soon!!Ujue jamii forum ingekua na kitu kama messenger hivi ambapo waliopo online wanaweza chat privately one to one. Ingeweza kuitwa Jamii messenger. Ni mawazo yangu tu wanajamii
Jamani mmeweka komeo kule getini?? Mana hawa dume hawasomeki,tunaweza nogewa bure tukavamiwa
Maana yake ni nini?