Nani yuko sahihi,..Obama au Michelle?

Nani yuko sahihi,..Obama au Michelle?

Obama is eloquent? Girl please....have you ever heard him speak extemporaneously? He stutters like he has a speech problem. He just reads the teleprompter well and that has got many people fooled that he is a great orator.
When it comes to people's beliefs I usually have no argument. So go ahead and believe whatever it is that you want. Heck, for all I care you can go ahead and believe you are the United Kingdom of Great Britain's princess to be.

He is eloquent....

aha ah ah haaaaaaaaaaaa......dalili za kuishiwa hoja unaanza hadi kuniwekea imagination ya Katie Middleton kwenye akili yangu...i believe am a Princess of Mr .......... and thats enough.....he he he he.....!!
 
He is eloquent....

aha ah ah haaaaaaaaaaaa......dalili za kusihiwa hoja unaanza hadi kuniwekea imagination ya Katie Middleton kwenye akili yangu...i believe am a Princess of Mr .......... and thats enough.....he he he he.....!!

Haya basi nimeishiwa hoja.
 
Mama Sitti Mwinyi nyuma ya Mzee Mwinyi???Mama Salma Nyuma ya Kikwete???????????????????Anna nyuma ya Mkapa??????????na yule nyuma ya Mwai Kibaki???????????????????????????????????????????? yote ni nguvu ya hawa wakina mama??????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
 
Mama Sitti Mwinyi nyuma ya Mzee Mwinyi???Mama Salma Nyuma ya Kikwete???????????????????Anna nyuma ya Mkapa??????????na yule nyuma ya Mwai Kibaki???????????????????????????????????????????? yote ni nguvu ya hawa wakina mama??????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????

Ukimtoa mama Mkapa hao wengine they are not successful,if they were successful that theory could apply....hao wengine wana wake zaidi ya mmoja....ilo nalo ni tatizo,manake when you have so many behind you. its hard to figure out what to do.....its a huge problem....l.o.l
 
Actually nakubaliana kabisa na mtazamo wako. Sijui kama ulikuwepo hapa kati ya 2007 - 2008. JF massive karibu yote ilikuwa nyuma ya Obama wakati mimi tu ndo nilikuwa nyuma ya Mama. Na ukiangalia debates zao za primaries, Mama alikuwa akimfunika sana Obama. Yule Mama achana naye bana. She knows her sh*t.

Kilichomkwamisha ni pervasive sexism iliyoota mizizi katika jamii ya Kimarekani.
NN you are right tena especially on the Pervasive Sexism
 
Uko sahihi kabisa my brother......Hillary is stronger to Obama tena sana tu....mpaka inaboa....ila kwa upande mwingine nachoamini ni kuwa Hillary kuwa mke wa Clinton/senator wa New York/na kuwa na political experience ya siasa za ndani na nje ya Marekani kulimjenga sana tofauti na Obama na kwa misingi hiyo angeweza kuiendesha Marekani vizuri zaidi na ikabaki kuwa na heshima kuliko Obama....on the other hand,Michelle is stronger than Obama...!
Sishangai kuona Marekani wakawa na one term president coming next year
 
Michelle alikuwa sahihi....mama anajiamini sana na kusema ukweli kwa kumsikiliza ana nguvu na uwezo wa kumtengeneza Rais wa Marekani....usisahau...."Behind every successful man there is a strong,smart and intelligent woman".....!

I love her confidence....thanks DC!

Michelle vipi aisee....:bolt:
 
NN, TF na Michelle....order please...order in the house!!!!!!!!!!!

Hoja ni kuwa, mtu yeyote ambaye angemwoa Michelle angekuwa Rais? Na Obama bila kumwoa Michelle asingekuwa Rais???
 
angekuwa kwao kenya kamuoa mjaluo mwenzie na hali ya hewa hii wanatafutaomena[dagaa]kidding lkn
Ahsante Michelle,

Swali kubwa ambalo nimejiuliza ni hili, hivi Obama angemwoa mwanamke mwingine asingeweza kuwa Rais wa US? Na tukikubaliana na wewe ina maana kwamba uwezo alionao ambao ulimwezesha kuwa Rais aliupata kwa sababu alimwoa Michelle?

Nafikiria tu,....Mzee DC!!!
 
DC, Obama asingeweza kumwoa mwanamke mwingine coz Michelle ndiye mkewe! inawezekana asingemwoa Michelle asingekuwa Obama tunayemfahamu. .....napita njia nimeacha mboga jikoni mwayego

Uko sahihi Mama mia, ila tukichukua msimamo wako basi hata hayo maongezi ya Obama na Michelle yatakuwa yamekufa. Hebu kuna kichwa utupe jibu basi. Yaani urais unategemea mke uliyemwoa (kwa mwanamume) au ukioa mke fulani lazima utakuwa Rais?
 
NN, TF na Michelle....order please...order in the house!!!!!!!!!!!

Hoja ni kuwa, mtu yeyote ambaye angemwoa Michelle angekuwa Rais? Na Obama bila kumwoa Michelle asingekuwa Rais???

Sasa hizo ni hypotheticals zisizo na mbele wala nyuma....lol
 
DC kwa kuwa nakuheshimu siwezi kukushushua kwa hii thread unaelewa namaanisha nini..................

Na usijibu hapa kama hujaelewa twende chemba watoto hawajalala bado
 
Michelle alikuwa sahihi....mama anajiamini sana na kusema ukweli kwa kumsikiliza ana nguvu na uwezo wa kumtengeneza Rais wa Marekani....usisahau...."Behind every successful man there is a strong,smart and intelligent woman".....!

I love her confidence....thanks DC!

Sijakiona kitufe cha thenkisi, ningekugongea. Siongezi.
 
Uko sahihi kabisa my brother......Hillary is stronger to Obama tena sana tu....mpaka inaboa....ila kwa upande mwingine nachoamini ni kuwa Hillary kuwa mke wa Clinton/senator wa New York/na kuwa na political experience ya siasa za ndani na nje ya Marekani kulimjenga sana tofauti na Obama na kwa misingi hiyo angeweza kuiendesha Marekani vizuri zaidi na ikabaki kuwa na heshima kuliko Obama....on the other hand,Michelle is stronger than Obama...!

and salma is stronger than Jk...thats y we hav a very weak minded president so long as his wife is so weak....!
 
Uko sahihi kabisa my brother......Hillary is stronger to Obama tena sana tu....mpaka inaboa....ila kwa upande mwingine nachoamini ni kuwa Hillary kuwa mke wa Clinton/senator wa New York/na kuwa na political experience ya siasa za ndani na nje ya Marekani kulimjenga sana tofauti na Obama na kwa misingi hiyo angeweza kuiendesha Marekani vizuri zaidi na ikabaki kuwa na heshima kuliko Obama....on the other hand,Michelle is stronger than Obama...!

Kuna mwingine anaitwa Lucy Kibaki...............................................

Ongezea na Martha Karua japo si mke wa Rais.
 
Kuna mwingine anaitwa Lucy Kibaki...............................................

Ongezea na Martha Karua japo si mke wa Rais.

Hehehehee Lucy Kibaki mwisho aisee. Kuna wakati nadhani alimlazimisha mumewe kuitisha press conference kukanusha madai ya kuwa ana hawara au sijui kazaa nje ya ndoa. Sasa Lucy alikuwa kasimama pembeni ya Mwai wakati Mwai anakanusha. Yule mama unamwona kabisa alikuwa anafukuta ndani maana alikuwa anahema tena ile mihemo ya hasira.

Lucy kiboko aisee. Halafu nakumbuka alivyomfuata mwandishi mmoja wa habari ofisini kwake na kumzaba vibao.
 
Hehehehee Lucy Kibaki mwisho aisee. Kuna wakati nadhani alimlazimisha mumewe kuitisha press conference kukanusha madai ya kuwa ana hawara au sijui kazaa nje ya ndoa. Sasa Lucy alikuwa kasimama pembeni ya Mwai wakati Mwai anakanusha. Yule mama unamwona kabisa alikuwa anafukuta ndani maana alikuwa anahema tena ile mihemo ya hasira.

Lucy kiboko aisee. Halafu nakumbuka alivyomfuata mwandishi mmoja wa habari ofisini kwake na kumzaba vibao.

Yule ni kiboko KE wanamuogopa ana amri kuliko prezidaaa ni kiboko ana matukioa zaidi ya mumewe ana amrisha ile mbaya.....................

Ole wao Martha Karua awe Rais wataisoma namaba
 
Back
Top Bottom