Nani yupo nyuma ya kampeni ya kumchafua Chongolo?

Pamoja na yooote. Hakuna ushahidi wowote ule unao suggest haya ni ya ndani ya chama bali yanatengenezwa na wapinzani wa nchi kutaka kujaribu kuwashawishi pro Magulification of Africa kuwa kuna Vitendo vya Ukatili, dhuluma n.k vinafanyika chini ya Uongozi wa Makonda ambavyo vinaleta taswira ya Sintofahamu na Uhasama.

Haya mazingira ya Uhasama ni yale yale yaliyojengwa na Wapinzani kipindi cha Hayat Rais. Hiyo ni hatari kwa Usalama wa Nchi. Wadhibitiwe ipasavyo.

Hii kutaka kulazimisha kuwa kuna mtu mwenye nguvu na mamalaka zaidi ya Amri Jeshi mkuu. Ni kujenga mazingira ya Uhasama Uhasama, tena ule wa Visasi na wivu.

Pamoja na mapungufu ya CCM, Uhasama huu unaonyesha mapungufu ya Vyama vikubwa vya Upinzani Tanzania. Hawana nia njema na hali ya Utulivu iliyopo.
 
Watajuana wao maana kusikia kwa kenge mpaka damu itoke masikioni. MAREKANI WALISHATUSAIDIA WAKASEMA BASHITE HAFAI NI MUUWAJI
 
Ebu eleza hizo tuhuma zinahusu nini? Zitaje tuone kama zina ukweli wowote.
 
NNa
Namba ya gari inayoonyeshwa na Namba ya gari kwenye kadi ni tofauti.
Hiyo tu inatosha kuleta mashaka dhidi ya ukweli wa tuhuma dhidi ya Chongolo!
 
Wale wanaotaka Kinana aondoke ndio wasiomtaka chongolo , hii ni kwa sababu chongolo alikuwa mshika begi wa Kinana kwa miaka mingi
 
Maweee

Mchonga ndio aliye tufikisha hapa Kwa Katiba mbovu, lichama la hovyo, yote Haya kayatengeneza Kwa mikono yake
Waliompokea ndiyo wame exagerate na kutuingiza chaka
 
Wacha wapambane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…