Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Asante mkuuHapana, mimi sikumhusisha yeye katika kumchafua huyu. Nilicho kazia ni "mwanzilishi".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuuHapana, mimi sikumhusisha yeye katika kumchafua huyu. Nilicho kazia ni "mwanzilishi".
Halafu yuko kwa process ya kuwa mtakatifu.Maweee
Mchonga ndio aliye tufikisha hapa Kwa Katiba mbovu, lichama la hovyo, yote Haya kayatengeneza Kwa mikono yake
DAB effect.“Wana CCM hatuaminiani ndio maana ukiacha glass ya maji ukatoka nje ukirudi huwezi kuinywa” - Jakaya Mrisho Kikwete wa Msoga.
Nimeanza kumnukuu aliyepata kuwa mwenyekiti wa ccm, Mzee Kikwete kuhusu hali ya kutoaminiana baina ya wanachama wa chama hiko.
Huko katika mtandao wa X zamani twitter, kuna baadhi ya wadau wanamshambulia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa tuhuma mbalimbali.
Wameenda mbali zaidi wakitaka avuliwe uongozi lakini kwa tuhuma zinazoonekana za kupika.
Je, Chongolo kachokwa ndani ya Chama? Nani yupo nyuma ya mpango wa kumuondoa Chongolo kwa fitna huko chamani?
Unataka uone picha za utupu za mwanaume mwenzako! Wewe ni mzima kweli?Sina,ndiyo maana siwezi kucomment kitu ambacho sijakiona.
Kambona is following,Nyerere alivyokuwa mbinafsi na mpenda madaraka.Hakusita kuua sababu ya Madaraka leo awe Mtakatifu jamani?Kwanza hata kuwa waziri mkuu wa kwanza baada ya Uhuru ni zengwe lake tu.Wazungu walitaka Chief Makwaia ndo awe waziri mkuu Nyerere akamchongea kwa kusema eti anatoka kabila kubwa. Hivyo yeye Nyerere ndo awe waziri mkuu.Halafu yuko kwa process ya kuwa mtakatifu.
Nani ?Kashajiuzulu
Mmesema sana
Mwana-mfalme anayezunguka mikoani kwa punda, helcopter, misafar na aliyekwenda kuongea na mwili wa mentor wake kaburini[maana roho inacha mwili mtu anapofariki hapo hapo], na kupewa maagizo na mwili wa mentor wake kwamba yeye ndio anapaswa kuwa waziri mkuu 2025 .Hivyo anawangoa waliopo ili awe na maamuzi kamati kuu ya 2025.“Wana CCM hatuaminiani ndio maana ukiacha glass ya maji ukatoka nje ukirudi huwezi kuinywa” - Jakaya Mrisho Kikwete wa Msoga.
Nimeanza kumnukuu aliyepata kuwa mwenyekiti wa ccm, Mzee Kikwete kuhusu hali ya kutoaminiana baina ya wanachama wa chama hiko.
Huko katika mtandao wa X zamani twitter, kuna baadhi ya wadau wanamshambulia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa tuhuma mbalimbali.
Wameenda mbali zaidi wakitaka avuliwe uongozi lakini kwa tuhuma zinazoonekana za kupika.
Je, Chongolo kachokwa ndani ya Chama? Nani yupo nyuma ya mpango wa kumuondoa Chongolo kwa fitna huko chamani?
Mhhh. Yaani Nyerere na Obote walikuwa mashoga,?😲😲Alivyo mchafua Idd Amini Dada na kumwita Nduli!!
Kisa ushoga na Obote!!!
Ni mpumbavu tuu ndio ataachia ngazi.Komaa hivyo hivyo Chongolo wajisemeshe harafu tuone mwisho wake.Akihisi amechoka au amechokwa, kwa heshima anaachia ngazi tu Kwan hata hivyo ameshafanya mengi ya kutosha kwaajili ya CCM.
Hakuna sababu ya kung'ang'ana akiona kuna watu wa ccm wanamzodoa kwasababu au bila sababu.
Ni hivyo tu..
Ni wapuuzi tuu hao,na Rais(Mwenyekiti) asipotaka Chongolo hatoki na Cha kumfanya hawana.Pamoja na yooote. Hakuna ushahidi wowote ule unao suggest haya ni ya ndani ya chama bali yanatengenezwa na wapinzani wa nchi kutaka kujaribu kuwashawishi pro Magulification of Africa kuwa kuna Vitendo vya Ukatili, dhuluma n.k vinafanyika chini ya Uongozi wa Makonda ambavyo vinaleta taswira ya Sintofahamu na Uhasama.
Haya mazingira ya Uhasama ni yale yale yaliyojengwa na Wapinzani kipindi cha Hayat Rais. Hiyo ni hatari kwa Usalama wa Nchi. Wadhibitiwe ipasavyo.
Hii kutaka kulazimisha kuwa kuna mtu mwenye nguvu na mamalaka zaidi ya Amri Jeshi mkuu. Ni kujenga mazingira ya Uhasama Uhasama, tena ule wa Visasi na wivu.
Pamoja na mapungufu ya CCM, Uhasama huu unaonyesha mapungufu ya Vyama vikubwa vya Upinzani Tanzania. Hawana nia njema na hali ya Utulivu iliyopo.
Amepiga picha pendwa hata kumzidi Ngwajima??Kwani chongolo ameifanyia Nini ccm hadi aonekana ni wapekee? Anaemfahamu atueleze ili tumpiganie kwa haya yanayo endelea juu yakeView attachment 2826988
Hizo tuhumu ni zipi? Tuzijue ili tupime“Wana CCM hatuaminiani ndio maana ukiacha glass ya maji ukatoka nje ukirudi huwezi kuinywa” - Jakaya Mrisho Kikwete wa Msoga.
Nimeanza kumnukuu aliyepata kuwa mwenyekiti wa ccm, Mzee Kikwete kuhusu hali ya kutoaminiana baina ya wanachama wa chama hiko.
Huko katika mtandao wa X zamani twitter, kuna baadhi ya wadau wanamshambulia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa tuhuma mbalimbali.
Wameenda mbali zaidi wakitaka avuliwe uongozi lakini kwa tuhuma zinazoonekana za kupika.
Je, Chongolo kachokwa ndani ya Chama? Nani yupo nyuma ya mpango wa kumuondoa Chongolo kwa fitna huko chamani?
Mnaye mjadiliNani ?
Kiki wabaki ntareMaweee😂
Umejuaje kuwa mimi ni "me"!!??Unataka uone picha za utupu za mwanaume mwenzako! Wewe ni mzima kweli?
Kambona is following,Nyerere alivyokuwa mbinafsi na mpenda madaraka.Hakusita kuua sababu ya Madaraka leo awe Mtakatifu jamani?Kwanza hata kuwa waziri mkuu wa kwanza baada ya Uhuru ni zengwe lake tu.Wazungu walitaka Chief Makwaia ndo awe waziri mkuu Nyerere akamchongea kwa kusema eti anatoka kabila kubwa. Hivyo yeye Nyerere ndo awe waziri mkuu.