Nani yupo nyuma ya kampeni ya kumchafua Chongolo?

Nani yupo nyuma ya kampeni ya kumchafua Chongolo?

“Wana CCM hatuaminiani ndio maana ukiacha glass ya maji ukatoka nje ukirudi huwezi kuinywa” - Jakaya Mrisho Kikwete wa Msoga.

Nimeanza kumnukuu aliyepata kuwa mwenyekiti wa ccm, Mzee Kikwete kuhusu hali ya kutoaminiana baina ya wanachama wa chama hiko.

Huko katika mtandao wa X zamani twitter, kuna baadhi ya wadau wanamshambulia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa tuhuma mbalimbali.

Wameenda mbali zaidi wakitaka avuliwe uongozi lakini kwa tuhuma zinazoonekana za kupika.

Je, Chongolo kachokwa ndani ya Chama? Nani yupo nyuma ya mpango wa kumuondoa Chongolo kwa fitna huko chamani?
DAB effect.

Na bado
 
Halafu yuko kwa process ya kuwa mtakatifu.
Kambona is following,Nyerere alivyokuwa mbinafsi na mpenda madaraka.Hakusita kuua sababu ya Madaraka leo awe Mtakatifu jamani?Kwanza hata kuwa waziri mkuu wa kwanza baada ya Uhuru ni zengwe lake tu.Wazungu walitaka Chief Makwaia ndo awe waziri mkuu Nyerere akamchongea kwa kusema eti anatoka kabila kubwa. Hivyo yeye Nyerere ndo awe waziri mkuu.
 
“Wana CCM hatuaminiani ndio maana ukiacha glass ya maji ukatoka nje ukirudi huwezi kuinywa” - Jakaya Mrisho Kikwete wa Msoga.

Nimeanza kumnukuu aliyepata kuwa mwenyekiti wa ccm, Mzee Kikwete kuhusu hali ya kutoaminiana baina ya wanachama wa chama hiko.

Huko katika mtandao wa X zamani twitter, kuna baadhi ya wadau wanamshambulia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa tuhuma mbalimbali.

Wameenda mbali zaidi wakitaka avuliwe uongozi lakini kwa tuhuma zinazoonekana za kupika.

Je, Chongolo kachokwa ndani ya Chama? Nani yupo nyuma ya mpango wa kumuondoa Chongolo kwa fitna huko chamani?
Mwana-mfalme anayezunguka mikoani kwa punda, helcopter, misafar na aliyekwenda kuongea na mwili wa mentor wake kaburini[maana roho inacha mwili mtu anapofariki hapo hapo], na kupewa maagizo na mwili wa mentor wake kwamba yeye ndio anapaswa kuwa waziri mkuu 2025 .Hivyo anawangoa waliopo ili awe na maamuzi kamati kuu ya 2025.
 
Akihisi amechoka au amechokwa, kwa heshima anaachia ngazi tu Kwan hata hivyo ameshafanya mengi ya kutosha kwaajili ya CCM.

Hakuna sababu ya kung'ang'ana akiona kuna watu wa ccm wanamzodoa kwasababu au bila sababu.

Ni hivyo tu..
Ni mpumbavu tuu ndio ataachia ngazi.Komaa hivyo hivyo Chongolo wajisemeshe harafu tuone mwisho wake.

Ningekuwa Rais harafu ndio wapambe wamekazana ningewaambia mnajisumbua huyu simtoi.

Na ndio maana ccm Wana akili kumfanya Rais Mwenyekiti wa Chama vinginevyo wangekuwa wanambabaisha sana Kwa majungu.
 
Pamoja na yooote. Hakuna ushahidi wowote ule unao suggest haya ni ya ndani ya chama bali yanatengenezwa na wapinzani wa nchi kutaka kujaribu kuwashawishi pro Magulification of Africa kuwa kuna Vitendo vya Ukatili, dhuluma n.k vinafanyika chini ya Uongozi wa Makonda ambavyo vinaleta taswira ya Sintofahamu na Uhasama.

Haya mazingira ya Uhasama ni yale yale yaliyojengwa na Wapinzani kipindi cha Hayat Rais. Hiyo ni hatari kwa Usalama wa Nchi. Wadhibitiwe ipasavyo.

Hii kutaka kulazimisha kuwa kuna mtu mwenye nguvu na mamalaka zaidi ya Amri Jeshi mkuu. Ni kujenga mazingira ya Uhasama Uhasama, tena ule wa Visasi na wivu.

Pamoja na mapungufu ya CCM, Uhasama huu unaonyesha mapungufu ya Vyama vikubwa vya Upinzani Tanzania. Hawana nia njema na hali ya Utulivu iliyopo.
Ni wapuuzi tuu hao,na Rais(Mwenyekiti) asipotaka Chongolo hatoki na Cha kumfanya hawana.

Keshokitwa anaeongoza Kamati hapo
 
“Wana CCM hatuaminiani ndio maana ukiacha glass ya maji ukatoka nje ukirudi huwezi kuinywa” - Jakaya Mrisho Kikwete wa Msoga.

Nimeanza kumnukuu aliyepata kuwa mwenyekiti wa ccm, Mzee Kikwete kuhusu hali ya kutoaminiana baina ya wanachama wa chama hiko.

Huko katika mtandao wa X zamani twitter, kuna baadhi ya wadau wanamshambulia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa tuhuma mbalimbali.

Wameenda mbali zaidi wakitaka avuliwe uongozi lakini kwa tuhuma zinazoonekana za kupika.

Je, Chongolo kachokwa ndani ya Chama? Nani yupo nyuma ya mpango wa kumuondoa Chongolo kwa fitna huko chamani?
Hizo tuhumu ni zipi? Tuzijue ili tupime
 
Wanakosea sana. Mbinu za kipumbavu kabisa. Wanadhalilsha chama sio hata Katibu Mkuu tu. Ni mwanzo wa uchafu wa kila mmoja kujulikana na wote watakosa heshima mbele ya jamii. Tukiendelea hivi kila wiki kutakuwa na picha za uchi za mmoja mmoja mpaka 2030. Tumefika point tunashindwa kumpima na kumuondoa mtu kwa kupima utendaji wake tunaenda kutafuta hawara atoe nudes? Vijana wanalipwa kusambaza nudes za viongozi? Taifa la hovyo kabisa hili tunakuwa? Bashiru alitokaje? Mangula alitokaje? Mukama alitokaje? Hawakuwa na mahawara? Si naye huyu kama mnataka atoke mtoeni tu si kwa kufanya upuuzi kama huu. Kosa sana kuwa na wahuni wenye nguvu na pesa za wizi wa kodi za wananchi kwenye chama. Shetani anaona aibu.

Stupid in Mama's voice.
 
Kambona is following,Nyerere alivyokuwa mbinafsi na mpenda madaraka.Hakusita kuua sababu ya Madaraka leo awe Mtakatifu jamani?Kwanza hata kuwa waziri mkuu wa kwanza baada ya Uhuru ni zengwe lake tu.Wazungu walitaka Chief Makwaia ndo awe waziri mkuu Nyerere akamchongea kwa kusema eti anatoka kabila kubwa. Hivyo yeye Nyerere ndo awe waziri mkuu.

Hakuna kitu Kama hicho. Acheni uongo.
 
Wazalendo na Watu wenye hekima na busara,tuliwaambia CCM kuwa Makonda,atakivuruga Chama kwa maana anakurupuka,huyu bwana aliwahi kumkwida Waziri Mkuu Mstaafu na Jaji wa Mahakama Kuu J.S. Warioba na alipokuwa RC Dar vurugu zake,mliziona.Tabia zile siyo watu wote wanapenda kwa maana vitendo vyake vingi vinatweza utu wa wengine na inawezekana ,anampiga Vita boss wake
 
Back
Top Bottom