Nani yupo nyuma ya Uhuni huu kwa Sabaya?

Tulia dawa iingie,alivyokuwa anatoka kituo chake cha kazi Hai na kwenda kufanya Ujambazi Arusha au Moshi Mjini alikuwa na Movement Order au Ruhusa ya nani??hata Mkuu wake wa Mkoa alikuwa hajui sembuse RAS!!!kaa kwa kutulia hivyohivyo!!!na leo atalala Mahabusu ya Jela ya Karanga pale Moshi lazima masela wamle Tigo mamamae,What Goes Around Comes Around
 
Kama amelipwa kinachomfanya aendelee kukaa kwa amsterdam ni nini , au ukuni

Acacia hawajatushitaki MIGA sasa
Yule amepewa majukumu mengine kule kama muwakilishi wa wale watu wa faragha Barani Afrika.
 
Mbona inajulikana. Acha kwanza watese. Muda ni wakili mzuri.
 
Mwiba aliotumia sabaya kuwachoma wtanzania wenzetu, inabidi utolewe jinsi ulivyoingia. Mambo ya kota pini
 
Tulishasema tunaachana yaliyopita tunaanza ukurasa mpya kama ilivyofanyika kwa mbowe,Lisu na wengineo sasa kwa upande wa Sabaya mbona mambo ni tofauti kama ilivyokuwa kwa hao wengine ambao hawaishi vihoja kila kukicha.Tusameheane jamani.
 
Hizi kesi zilizobaki ni kesi uchwara tu za kina Kweka na ambazo hawataweza kuzithibitisha.
 
Naona wanamtengenezea mtuhumiwa njia nyeupe ya kushinda kesi zake zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…