Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tuliwaambia kwamba kila ubaya utalipwaJana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi,Arusha...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuliwaambia kwamba kila ubaya utalipwaJana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi,Arusha...
Utakuwa ni mke wake wewe haya yote umeyajuaje
Taratibu za kisheria zifuatweHuyo dogo wacha anyooshwe, si mtu mzuri
Anafanyiwa maovu au analipia maovu yake🤔Haya ni matumizi mabaya ya madaraka na hii ni sababu tuna katiba ambayo inawapa wenye madaraka kunyanyasa raia kwa kutumia vibaya madaraka waliyopewa na katiba isiyofaa...
Ni ushetani wake ndio uko nyumaJana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi, Arusha...
Jikite kwenye mada.Utadunguda mwaka huu ...
Jana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi, Arusha...
It is a payback time.Anafanyiwa maovu au analipia maovu yake[emoji848]
Acha kupotosha wasomaji kwa mahaba Niue uliyonayo juu ya sabaya. Kuhusisha makosa yake anayotumiwa kuyatenda na uwepo wa naibu dci na Mbowe ni kuonyesha jinsi Gani ulivyo biased na obsessive na sabaya.Ujambazi upi ulioshindwa kuthibitishwa mahakamani?
Au ni uovu kumsababishia Mbowe kupoteza Jimbo la Hai?
Maonevu tuIt is a payback time.
Hatimaye umetambua umuhimu wa katiba mpya.Haya ni matumizi mabaya ya madaraka na hii ni sababu tuna katiba ambayo inawapa wenye madaraka kunyanyasa raia kwa kutumia vibaya madaraka waliyopewa na katiba isiyofaa.
Tungekuwa na katiba ambayo inapinga kiongozi mkuu kuwa na madaraka kiasi cha wateule wake kutumika kufanya maonevu basi leo hii tusingeshuhudia maonevu kama haya dhidi ya Sabaya.
Idugunde ni mkazi wa Igunga na Mpenda haki.
Ukionea tegemewa kuonewa nawewe kama SII Leo kesho🚶Maonevu tu
Yule Mayor wa Halmashauri ya Manispaa Moshi Juma Raibu Juma aliyefurushwa naye ndani.Haya ni matumizi mabaya ya madaraka na hii ni sababu tuna katiba ambayo inawapa wenye madaraka kunyanyasa raia kwa kutumia vibaya madaraka waliyopewa na katiba isiyofaa...
Unao ushahidi? Kuwa nilipinga?Watajileta mmoja mmoja na kukiri Kwa vinywa vyao kuwa walipinga kupatikana Kwa katiba mpya Kwa kukosa uelewa TU,ila wametambua Sasa kuwa ni muhimu 🤔
KADA wa CCM anasupport Katiba mpya, tuungane tuisaidie Nchi na vizazi vijavyo amen.Haya ni matumizi mabaya ya madaraka na hii ni sababu tuna katiba ambayo inawapa wenye madaraka kunyanyasa raia kwa kutumia vibaya madaraka waliyopewa na katiba isiyofaa...