michango ya ujenzi wa uwanja ilianza pasi na ushindani,apakua na msukumo wa ushindani ni kutoa tu kwa hiari ndo maana machango ikawa kidogo.
Mechi za kimataifa Simba ni kinara wa kujaza uwanja wa Mkapa,
kuchangia uwanja ni swala endelevu mtu anajipa imani ntatoa tu siku yoyote ila michango ya nani zaidi ni program ya muda mfupi iliyo anzishwa na Azam media.Kwamba una maanisha mashabiki wa SIMBA SC hawakuwa na msukumo wa kuchangia ujenzi wa uwanja ambao ungewafanya kuwa na uwanja wa kisasa zaidi kusinda YANGA SC...?
Yanga ni timu ndogo sana ila nimegundua ina ndoto za kukua ila mbinu iliyojichagulia siioni kama italeta matundaMleta mada naomba nikukumbushe Tu mambo kadhaa kuhusu Simba
1.Simba ndy club yenye vibe mtandaoni kuliko club yoyote kusini mwa jangwa la Sahara,na linapokuja swala km Hilo linakuwa km kumsukuma mlevi tu Kwa mashabiki wa simba
2.kwenye mitandao ya kijamii Simba imemwacha mbali sn yanga Kwa followers
Simba 934,000 wakati yanga 192,000(Twitter pekee)
Umejifunza nini hapa kuhusu hili linaloendelea?
3.Siku kadhaa nsemaji wenu white aliwahi kukiri kwamba Simba imemwacha mbali sn yanga kwenye hamasa za mtandaoni.Huoni hili Kwa Simba ni km kumwambia mtoto avunje biskuti?
4.Point yangu ya mwisho ni hii;Umesema kwamba huko nyuma Simba ilichangisha mil 60 Tu lkn umesahau kwamba wakati ule ilikuwa haishindani na yeyote lkn Simba linapokuja swala la kushindana,mashabiki wa Simba ni km wanakuwa vichaa Kwa kuisapoti timu Yao
Wewe ndiyo wale ma lafa mizigo ambao hamna hata kadi za uanachama ngeke weweHakuna shabiki wa Simba mpuuzi mpuuzi km wewe.Wewe ni uto uliyejivika usimba..period!!
Timu kubwa lazima uwe na folowers wengi kwakuwa watu watakuwa wanakufatilia kwa kila jambo ukiona timu yako inapitwa kwa follower s ujue timu yako ndogo sana na ya kawaida hata ulaya anaanza Madrid Barcelona man u hizo ndio timu kubwa zenye mashabiki wengiMambo ya kuzidiana followers mtandaoni sio kipimo cha kuaminika cha timu kuwa na mashabiki wengi , uwezo nk mfano Diamond kamzidi Burna boy , Wizkidayo pamoja nawasanii wengine wakubwa kwa subscribers youtube lakini wakina Burna wanajua shows viwanja vikubwa na kuchukua tuzo kubwa kubwa na kumpiga group kubwa Diamond japo yeye ni King kwenye mitandao ya kijamii.
Hii ni miongoni mwa comment bora za mwaka...Hakuna shabiki wa Simba mpuuzi mpuuzi km wewe.Wewe ni uto uliyejivika usimba..period!!
Kwa hiyo madrid yenye followers 120M kuna uwezekano ikawa imezidiwa mashabiki na ihefu kwasababu kuna chance kubwa ya mashabiki wa ihefu kutokuwa fascinated na mitandao ya kijamii?Mambo ya kuzidiana followers mtandaoni sio kipimo cha kuaminika cha timu kuwa na mashabiki wengi , uwezo nk mfano Diamond kamzidi Burna boy , Wizkidayo pamoja nawasanii wengine wakubwa kwa subscribers youtube lakini wakina Burna wanajua shows viwanja vikubwa na kuchukua tuzo kubwa kubwa na kumpiga group kubwa Diamond japo yeye ni King kwenye mitandao ya kijamii.
Whydad ina follower 1m, etoil du sahel ina followers 100k, Es tunis ina followers 397k kwenye mtandao wa Instagram. Je hizo timu ni ndogo na za kawaida?Timu kubwa lazima uwe na folowers wengi kwakuwa watu watakuwa wanakufatilia kwa kila jambo ukiona timu yako inapitwa kwa follower s ujue timu yako ndogo sana na ya kawaida hata ulaya anaanza Madrid Barcelona man u hizo ndio timu kubwa zenye mashabiki wengi
Mleta mada naomba nikukumbushe Tu mambo kadhaa kuhusu Simba
1.Simba ndy club yenye vibe mtandaoni kuliko club yoyote kusini mwa jangwa la Sahara,na linapokuja swala km Hilo linakuwa km kumsukuma mlevi tu Kwa mashabiki wa simba
Mleta mada naomba nikukumbushe Tu mambo ka
4.Point yangu ya mwisho ni hii;Umesema kwamba huko nyuma Simba ilichangisha mil 60 Tu lkn umesahau kwamba wakati ule ilikuwa haishindani na yeyote lkn Simba linapokuja swala la kushindana,mashabiki wa Simba ni km wanakuwa vichaa Kwa kuisapoti timu Yao
3.Siku kadhaa nsemaji wenu white aliwahi kukiri kwamba Simba imemwacha mbali sn yanga kwenye hamasa za mtandaoni.Huoni hili Kwa Simba ni km kumwambia mtoto avunje biskuti?
Ukienda katika followership ya timu hizi katika Social Media Simba wana followers mara mbili au zaidi katika kila mtandao. Simba Facebook wana followers 1M Yanga wana laki 5, Instagram Simba wana followers 3.8M Yanga wana 1.9M unashangaa nini kwamba Simba imeizidi Yanga mapato two times wakati hata followership mitandao Simba wanawazidi Yanga two times?
Inawezekana Yanga walipata peaa hizo 1B ( kama ni kweli maana sote twajua Manara ni mwongo mkubwa) ila kupata hizo pesa stratergy yake wala haihusiani na Uchangiaji huu.