NANI ZAIDI: Nilikuwa na Mashaka na Simba kumbe ni kweli wanatumia fumbate

Whydad ina follower 1m, etoil du sahel ina followers 100k, Es tunis ina followers 397k kwenye mtandao wa Instagram. Je hizo timu ni ndogo na za kawaida?

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app


Ongezea na TP MAZEMBE hapo [emoji23][emoji23][emoji23]
 

Sijui kama wataelewa na hili.

Simple & Clear.
 
Yanga ni timu ndogo sana ila nimegundua ina ndoto za kukua ila mbinu iliyojichagulia siioni kama italeta matunda


Mimi nadhani YANGA SC sio timu ndogo kwa sababu ina mataji mengi zaidi ya Ligi Kuu kuliko SIMBA SC.

Simba SC wanajivunia kimataifa ili hali they have nothing to show for it.
 
Mimi nadhani YANGA SC sio timu ndogo kwa sababu ina mataji mengi zaidi ya Ligi Kuu kuliko SIMBA SC.

Simba SC wanajivunia kimataifa ili hali they have nothing to show for it.
Mataji mengi mangapi?
 
Huko Twitter kwenye scandal ya mamilioni ya accounts fake ndio unatumia kama reference yako?
 
Jibu lako ni hili:

Simba ilianza mapema zaidi kufanya social media investiment.

Followers wote hao sio mashabiki wa simba.

Kama mnawafuasi na mashabiki wengi kwanini YANGA SC iliwapiga gape kubwa kwenye mapato ya gate collection msimu ulio pita?
Kwanza Twitter ina scandal ya account fake,Mwamedi anavyopenda sifa ashindwi kuwa na kikosi kazi cha I.T specialist wa kutengeneza accounts fake
 
Whydad ina follower 1m, etoil du sahel ina followers 100k, Es tunis ina followers 397k kwenye mtandao wa Instagram. Je hizo timu ni ndogo na za kawaida?

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Hapana ukubwa wao unaonekana katika makombe wanavyochukuwa shida inakuja kama makombe ya club bingwa huchukui na hata ushiriki katika group stages yoyote na umepitwa kwa followers automatically ww ni timu ndogo kama ilivyokuwa Yanga mbele ya Simba
 
Fedha wamehamisha sawa, kura nazo imekuwaje?
 
Kumbuka mapato ya mlangoni hayachangiwi na mashabiki wa Yanga pekee.
Labda nikuambie na ufanye utafiti mechi zijazo.
Inapocheza Yanga washabiki wa Simba wengi wanaingia kuona mchezo.
Inapocheza Simba washabiki wa Yanga wanakuwa kidogo sana.

Hivyo get collection ya Yanga inachangiwa sana na washabiki wa Simba kuliko kinyume chake.

Fanya utafiti mechi zijazo utaliona hili.
 
Kwa faida ipi? Mwamedi anafanya hivyo ili kuwapumbaza nyie mambumbumbu ili kuwapoza kwa machungu ya makombe msimu huu
Una ushahidi na unachosema ?
Kauli za mkosaji hizo.
Mwambieni GSM na Rostam nao wachangie maana wana pesa kumzidi MO.
 
Hata mechi ya Yanga na Simba ya mwisho uwanja wa Mkapa Mashabiki wa Yanga walikuwa wachache kuliko wale wa Simba.
Muwe mnakubali vitu vingine na sio kujiona ninyi ni bora maeneo yote.

Mngeongoza kwa michango msingeongea haya.
Kwa Africa Simba ni kati ya timu tano bora zinazojaza washabiki wake wengi uwanjani.
Takwimu zipo, hadi CAF wanawaruhusu kuingiza washabiki wengi kwenye mechi zao.
Kocha Ibenge amekiri hili. vipi mlishangae
 
Jibu lako ni hili:

Simba ilianza mapema zaidi kufanya social media investiment.

Followers wote hao sio mashabiki wa simba.

Kama mnawafuasi na mashabiki wengi kwanini YANGA SC iliwapiga gape kubwa kwenye mapato ya gate collection msimu ulio pita?
Washabiki wa simba ni vijana na wanapenda mpira,wao huingia mechi zote bila kujali nani anacheza,yanga mashabiki wao ni wazee na wamama hawaendi uwanjani wala hawana smart phone
 
Hii miaka minne mfululizo ya Pila Biriani na michuano ya Afrika Simba, imejiongezea washabiki wengi sana ndani na nje ya Tanzania na Afrika kwa ujumla wake.

Kutokana na utandawazi wa kuona mpira karibu Tanzania Nzima.
Leo karibu kila Kijiji kina Umeme na wanaangalia mpira wa ndani na wakimataifa.
Ukienda Msumbiji ni hivyo hivyo Azam TV inawapa vijana wa huko Live Mechi zote za hapa nchini.

Timu inayoishia kutolewa makundi raundi ya kwanza miaka nenda rudi huku ikijivunia historia ya mababu zao, haiwezi kuwa kipaumbele kwa kizazi cha sasa kinachopenda soka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…