Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Utopolo hawanaga washabiki.. kelele tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishu sio mashabiki hapo bali ni wenye moyo wa utoaji. Hili ni sawasawa na wakristo na waislam, wakristo inapofikia swala la harambee ya kuchangia basi huchangia mizigo ya maana na pesa nyingi hukusanywa lakini upnde wa waislam wana mioyo migumu sana ya utoaji yaani mtu ataenda msikitini atatafuta hata chenchi ili apate sarafu sarafu ya kwenda kutoa sadaka au buku buku.Utopolo hawanaga washabiki.. kelele tu
Waislamu wanaogopa kutoa hela, zinaliwa na viongozi.Ishu sio mashabiki hapo bali ni wenye moyo wa utoaji. Hili ni sawasawa na wakristo na waislam, wakristo inapofikia swala la harambee ya kuchangia basi huchangia mizigo ya maana na pesa nyingi hukusanywa lakini upnde wa waislam wana mioyo migumu sana ya utoaji yaani mtu ataenda msikitini atatafuta hata chenchi ili apate sarafu sarafu ya kwenda kutoa sadaka au buku buku.
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Basi hiyo nadharia ipo sawa sawa na mashabiki wa Yanga.Waislamu wanaogopa kutoa hela, zinaliwa na viongozi.
Mpaka hapa viongozi wa Yanga wana kazi kubwa ya kuongezea hamasa kwa mashabiki wao maana kupindua meza ni ngumu sana maana gap inazid kuwa kubwaTarehe 06/06/2022 saa 7.00 mchana
View attachment 2252199
Kwani nimekwambia nachangia, hii sehemu huru kila mtu anatoa maoni yake, inaKUuMA sanaa, KATOeMBWaE bandani.Kwani umelazimishwa? Mavi-Jana ya Tanzania ni matilatila!
Mashabiki wa yanga wapo vijiwe vya kahawaYanga asilimia kubwa mashabiki wake ni wazee wa kizamani ambao wengi wao elimu na maisha yao ni ya hawana kipato kawaida na hao mashabiki waliwapata zamani huko hivyo mashabiki wao wengi wazee
Simba mashabiki wake wengi watoto na vijana na kumbuka watoto na vijana ndio wengi mahali popote that's why hata kwenye mitandao yote Simba anaongoza kuanzia FB insta Twitter you tube kwa kifupi mashabiki wa Simba ni vijana ambao wana masimu makali wanaingia twiter fb insta wakati yanga mashabiki wake wengi hawana smart phone wanatumia kiswaswadu utapata folloers wengi katika mitandao nakuhakikishia Simba ndio inaongoza kwa mashabiki hapa tanzania kwa hilo najua Kwenye hili Simba wataongoza tu fuatilia hata mechi za Simba na Yanga mara nyingi Simba ndio wanakuwa wengi haijalishi awe mwenyeji au mgeni