Leonardo Harold
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 1,088
- 2,122
Hadi sasa Simba anaongoza, tuendelee kupeana updates.
Credit: Azam tv
Haya ni matokeo ya 05/06/2022 saa tatu kamili usiku.
View attachment 2251676
06/06/2022 saa 8.00 asubuhi
View attachment 2251869
Tarehe 06/06/2022 saa 7.00 mchana
View attachment 2252200
Saa 3.00 usiku tarehe 06/06/2022
View attachment 2252691
07/06/2022 saa 2.50 asubuhi.
View attachment 2252919
07/06/2022 saa 5 asubuhi
View attachment 2253054
utopwinyo wamelala..07/06/2022 saa 7 mchanaView attachment 2253167
Huyu aliyeanzisha hii kampeni ni mchochezi tuMpaka hapa viongozi wa Yanga wana kazi kubwa ya kuongezea hamasa kwa mashabiki wao maana kupindua meza ni ngumu sana maana gap inazid kuwa kubwa
We ndio mpumbavu sana!Waishajua sisi watz ni mapopoma hapa wanachota pesa za bure bure kisa uyanga na usimba.
Waingereza walituachia ugonjwa fulani hivi, udaku na mpira hatujui.
Ni kawaida mpumbavu kujiona mwerevu,We ndio mpumbavu sana!
Unadhani mtu kuipenda timu na kutoa pesa ni upopoma?
Una roho ya uchoyo na itakubakiza huko huko kwenye umaskini
Tunakimbiza mwizi kimya kimya07/06/2022 saa 9 mchanaView attachment 2253302
Tunakimbiza mwizi kimya kimya
Matokeo ya leo yakoje?07/06/2022 saa 9 mchanaView attachment 2253302
Tunaweza hitimisha hivyo kwavile imeangaliwa namba, lakini hapo hapo hizo namba hazijaangalia factors zingine mfanoSimba ndio club yenye mashabiki wengi mpaka saiv tz., hili halina mjadala. mitandaoni, kwenye vibanda umiza mpaka viwanjani!! Na hili shindano lingekuwa linafanyika simba wapo kwenye ubora wao lingepigwa gap la hatari sana!!!
Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
Vibanda umiza mashabiki wengi hua ni SIMBA, pale kwa Lupaso mechi zote SIMBA pia wanakua wengi mno.Tunaweza hitimisha hivyo kwavile imeangaliwa namba, lakini hapo hapo hizo namba hazijaangalia factors zingine mfano
1) pengine washabiki wa Simba wengi wao wanakipato kuliko wa Yanga ambao wengi wana hali duni.
2) Mashabiki wa Simba ni rahisi kuhamasika kuliko wa Yanga ambapo wengi ni wabahili..
3) Mashabiki wa Simba wengi ni wakisasa hivyo mambo ya mitandaoni hawapitwi tofauti na wa Yanga pengine wengine wengi wao ni wazee.
Kwavile sensa inapita nyumba kwa nyumba, nchi nzima na kuchukua data ya kila aina ya binadamu basi pengine wangeweka option ya kuuliza timu anayoshabikia watu, wangetoa takwimu yenye uhalisia zaidi kuliko hii project ya nani zaidi
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Lkn kuna sadaka huwa wanatoa kisiri siri pasi hata mtu mwengine kujua.Ishu sio mashabiki hapo bali ni wenye moyo wa utoaji. Hili ni sawasawa na wakristo na waislam, wakristo inapofikia swala la harambee ya kuchangia basi huchangia mizigo ya maana na pesa nyingi hukusanywa lakini upnde wa waislam wana mioyo migumu sana ya utoaji yaani mtu ataenda msikitini atatafuta hata chenchi ili apate sarafu sarafu ya kwenda kutoa sadaka au buku buku.
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Zote hizo zinaingia kwenye factor nilizozitaja hapo juu. Mfano mzuri tu ni mimi mwenyewe. Mimi ni mshabiki wa Yanga lakini tokea nizaliwe sijawahi hata siku moja kukanyaga uwanja wa Mkapa kutazama mechi. Sijawahi kutoa hata sumni kwaajili ya kuchangia timu.Vibanda umiza mashabiki wengi hua ni SIMBA, pale kwa Lupaso mechi zote SIMBA pia wanakua wengi mno.
Hata vibanda umiza hua huendi?Zote hizo zinaingia kwenye factor nilizozitaja hapo juu. Mfano mzuri tu ni mimi mwenyewe. Mimi ni mshabiki wa Yanga lakini tokea nizaliwe sijawahi hata siku moja kukanyaga uwanja wa Mkapa kutazama mechi. Sijawahi kutoa hata sumni kwaajili ya kuchangia timu.
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Vibanda umiza naenda mara nyingi tuHata vibanda umiza hua huendi?
😂😂Hili ndio kombe pekee simba watakalochukua