najua kwa hizi timu mbili hizo ni nauli za go and return ya mechi moja Kigoma pamoja na malazi but mbona aliyeanzisha mchakato ni Azam? Inawezekana pia kuna timu inatuliza presha ya mashabiki zao kwa kukosa kombe ila haya mambo mbona ya kitoto kama ni hivo
Umechangia sh ngapi wewwnajua kwa hizi timu mbili hizo ni nauli za go and return ya mechi moja Kigoma pamoja na malazi but mbona aliyeanzisha mchakato ni Azam? Inawezekana pia kuna timu inatuliza presha ya mashabiki zao kwa kukosa kombe ila haya mambo mbona ya kitoto kama ni hivo
sh 3000Umechangia sh ngapi weww
Kwani wanachangisha kupata milion 100 tu?Huwezi kuelewa Dabil ni kwasababu hatufahamiani kwa hizi fake ID zetu kwa hiki ninachozungumza
Nimewahi kupita Yanga nikiwa kama Mwajiriwa pale and najua namna hizi timu zinavyo operate actions zake
Unafikiri Milioni 100 pale Simba au Yanga zinaweza zikatatua tatizo gani?
Huyo mwenye 49% keshasema kwenye ishu ya uwanja anatoa sh bilion 2 unataka mashabiki mtoe nini kwa 51% iliyobakia sasa?Halafu timu yetu si tulishamaliza mchakato wa mabadiliko wa uendeshaji wa timu na mwekezaji akapatikana akachukua 49% ya hisa za club na pesa aka deposit
Iweje Leo hii tuambiwe tuichangie timu yetu.......sijawahi kuona uwekezaji wa namna hii ktk club yeyote duniani labda mbinguni
Hiyo asilimia 51% sio ya kutoa michango yenu pale kwenye timu mkuuHuyo mwenye 49% keshasema kwenye ishu ya uwanja anatoa sh bilion 2 unataka mashabiki mtoe nini kwa 51% iliyobakia sasa?
Zoezi la uchangiaji bado siku chache na wala hazizidi tankKwani wanachangisha kupata milion 100 tu?
Hii idea ya mchakato huu ni ya Simba,ikapelekwa Azam ili ipate airtimenajua kwa hizi timu mbili hizo ni nauli za go and return ya mechi moja Kigoma pamoja na malazi but mbona aliyeanzisha mchakato ni Azam? Inawezekana pia kuna timu inatuliza presha ya mashabiki zao kwa kukosa kombe ila haya mambo mbona ya kitoto kama ni hivo
Simba walijua wako wengi ndio maanaHii idea ya mchakato huu ni ya Simba,ikapelekwa Azam ili ipate airtime
Aya sawaSimba walijua wako wengi ndio maana
Unaonekana unajua mambo mengi sana ya ndani ya Simba kuliko hata watendaji wenyewe.Hii idea ya mchakato huu ni ya Simba,ikapelekwa Azam ili ipate airtime
Sio Simba tu hata Yanga pia........Nina marafiki wengi waajiriwa ndani ya hizi Taasisi za kariakoo na tukikaa nao wanaeleza ukweli uliopo ndani ya hizi TaasisiUnaonekana unajua mambo mengi sana ya ndani ya Simba kuliko hata watendaji wenyewe.
Basi wewe ni mtu mzito sana,kama unaweza kujua mambo ya Simba zaidi ya Barbra, Try Again au Magori ambao ni watendaji wakuu wa Simba.Unapaswa kuogopwa.Sio Simba tu hata Yanga pia........Nina marafiki wengi waajiriwa ndani ya hizi Taasisi za kariakoo na tukikaa nao wanaeleza ukweli uliopo ndani ya hizi Taasisi
Sio kuogopwa tu na kukimbiwa pia kama naweza kujua mambo mengi ya mke wako kuliko ww pamoja na ya Mama yako kuliko Baba yakoBasi wewe ni mtu mzito sana,kama unaweza kujua mambo ya Simba zaidi ya Barbra, Try Again au Magori ambao ni watendaji wakuu wa Simba.Unapaswa kuogopwa.
Umetisha sana,inaelekea unajua hata mambo ya Mungu kuliko Mungu mwenyewe.Sio kuogopwa tu na kukimbiwa pia kama naweza kujua mambo mengi ya mke wako kuliko ww pamoja na ya Mama yako kuliko Baba yako
Kama kinavyoitafuna kolokwinyoKuna kitu kinaitafuna utopwinyo