Nani zaidi? Simba vs Yanga thread

Nani zaidi? Simba vs Yanga thread

najua kwa hizi timu mbili hizo ni nauli za go and return ya mechi moja Kigoma pamoja na malazi but mbona aliyeanzisha mchakato ni Azam? Inawezekana pia kuna timu inatuliza presha ya mashabiki zao kwa kukosa kombe ila haya mambo mbona ya kitoto kama ni hivo
najua kwa hizi timu mbili hizo ni nauli za go and return ya mechi moja Kigoma pamoja na malazi but mbona aliyeanzisha mchakato ni Azam? Inawezekana pia kuna timu inatuliza presha ya mashabiki zao kwa kukosa kombe ila haya mambo mbona ya kitoto kama ni hivo
Umechangia sh ngapi weww
 
Huwezi kuelewa Dabil ni kwasababu hatufahamiani kwa hizi fake ID zetu kwa hiki ninachozungumza

Nimewahi kupita Yanga nikiwa kama Mwajiriwa pale and najua namna hizi timu zinavyo operate actions zake

Unafikiri Milioni 100 pale Simba au Yanga zinaweza zikatatua tatizo gani?
Kwani wanachangisha kupata milion 100 tu?
 
Halafu timu yetu si tulishamaliza mchakato wa mabadiliko wa uendeshaji wa timu na mwekezaji akapatikana akachukua 49% ya hisa za club na pesa aka deposit

Iweje Leo hii tuambiwe tuichangie timu yetu.......sijawahi kuona uwekezaji wa namna hii ktk club yeyote duniani labda mbinguni
Huyo mwenye 49% keshasema kwenye ishu ya uwanja anatoa sh bilion 2 unataka mashabiki mtoe nini kwa 51% iliyobakia sasa?
 
Huyo mwenye 49% keshasema kwenye ishu ya uwanja anatoa sh bilion 2 unataka mashabiki mtoe nini kwa 51% iliyobakia sasa?
Hiyo asilimia 51% sio ya kutoa michango yenu pale kwenye timu mkuu

Ila ni dhamani nzima ya timu na ndio maana Leo hii Mo dewji anaitumia Brand ya timu katika matangazo Yale

Yaani matangazo kwenye jezi aweke na pesa achangiwe
 
najua kwa hizi timu mbili hizo ni nauli za go and return ya mechi moja Kigoma pamoja na malazi but mbona aliyeanzisha mchakato ni Azam? Inawezekana pia kuna timu inatuliza presha ya mashabiki zao kwa kukosa kombe ila haya mambo mbona ya kitoto kama ni hivo
Hii idea ya mchakato huu ni ya Simba,ikapelekwa Azam ili ipate airtime
 
Unaonekana unajua mambo mengi sana ya ndani ya Simba kuliko hata watendaji wenyewe.
Sio Simba tu hata Yanga pia........Nina marafiki wengi waajiriwa ndani ya hizi Taasisi za kariakoo na tukikaa nao wanaeleza ukweli uliopo ndani ya hizi Taasisi
 
Sio Simba tu hata Yanga pia........Nina marafiki wengi waajiriwa ndani ya hizi Taasisi za kariakoo na tukikaa nao wanaeleza ukweli uliopo ndani ya hizi Taasisi
Basi wewe ni mtu mzito sana,kama unaweza kujua mambo ya Simba zaidi ya Barbra, Try Again au Magori ambao ni watendaji wakuu wa Simba.Unapaswa kuogopwa.
 
Basi wewe ni mtu mzito sana,kama unaweza kujua mambo ya Simba zaidi ya Barbra, Try Again au Magori ambao ni watendaji wakuu wa Simba.Unapaswa kuogopwa.
Sio kuogopwa tu na kukimbiwa pia kama naweza kujua mambo mengi ya mke wako kuliko ww pamoja na ya Mama yako kuliko Baba yako
 
Sio kuogopwa tu na kukimbiwa pia kama naweza kujua mambo mengi ya mke wako kuliko ww pamoja na ya Mama yako kuliko Baba yako
Umetisha sana,inaelekea unajua hata mambo ya Mungu kuliko Mungu mwenyewe.
 
Tarehe 11/06/2022.
Saa 3:27 Usiku.
simba_na_yanga_nanizaidi-20220612-0001%20(1).jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom