Nanunua nguo kila ninapokutana na machinga hata kama sizihitaji, nifanyeje kuondokana na tabia hii?

Ahaaa we mkuu vaa tu maana walio wengi habari nguo alizovaaa mwingine
 
Sasa job unaenda na hizo kadeti 2 na Suruali 2 na mashati 4 pekee?
.mashati hayo ni wiki moja, wiki inayofuata unarudia tena hizo hizo?

Sioni shida kurudia nguo mkuu.
Hizo nguo ni nyingi mno. Ni ishu ya mpangilio tuu.
Hapo kuna Tsheti, kuna mashati ya mikono mirefu na mikono mifupi. Suruali ya kadeti 2 na kitambaa mbili. Jeans utavaa siku ya Casual
 
Bora wewe rafiki, mwenzio nikikaa bar kila kitu cha kula kikipita ninacho ndiyo maana toka nianze kulewa sina kumbukumbu siku gani sijaondoka bar tumbo likiunguruma kama mashine ya mahindi .😭
Ila weye wapunguzie wahitaji na punguza tamaa ya mavazi utakufa utayaacha
 
Issue ni tabia hujui kukataa,sasa ipo siku utaombwa naniliu utatoa tu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…